Watoto wa siku hizi

Watoto wa siku hizi

kweli kabisa,nimeona hiki ulichoandika kwa macho yangu Nikadhani ni matumizi mabaya ya Pesa ila ile nyumba watoto wote watatu kila mtoto ana chumba chake tena master na Tv ndani.

Dada wa kazi watatu wote kila dada ana chumba chake...sebule ziko 3 zote ni COMPLETE SITTING ROOMS..umeandika life nililolishuhudia kwa macho yangu.

Hapa ndio naelewa kwanini wale watu wanafanya vile.
Ni Nzuri sana hao wazazi akili KUBWA.
 
Lubuva alimwambia baba yake hivi '' Baba mimi nataka nimuoe mama yako?'' baba akakasrika kwelikweli kwa nini wewe mtoto unanikosea adabu?

Mtoto akajibu ''wewe mbona umemuoa mama yangu? na silalamiki?
 
Kuna mtoto mwingine alishuhudia Baba akimnyoa mke wake kwa mahaba mazito maeneo nyeti!

Kesho asubuhi mtoto akamsalimia baba yake "Shikamoo Kinyodhiii"
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom