Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
Mama yake ritz1 yuko wapi?Duh! kumbe Padre Slaa ana watoto wengine wa nje ya ndoa! huyu ndio mtu anaeruhusiwa kugombea Urais?
Kuna kila sababu inabidi Tanzania tuweke sheria za wagombea Urais zinazoendana na maadili ya mgombea na huu ni wakati muafaka kuliongelea tunapojadili Katiba mpya.
Wanaenda kw sababu ww mzazi mwenyewe hata ada unakua huna kw sababu magamba wenzako wamekukamua vya kutosha.Watoto wanaoenda kwenye maandamano ya CHADEMA ni wazalendo wa kweli kwa sababu wana maono 2nachukua dolambona ata watoto wetu wakati huo wanakuwa mashuleni,lakini wanashinikizwa wakaandamane na kina Slaa??
kikwete ana watoto wangapi wa nje? unajua nachingwea kikwete ana watoto wangapi? ulishawahi kumuona yule mtoto wa kikwete wa masasi zezeta yule?wacha ulofa zomba,njaa zako zitakuletea matatizo,usituletee mambo yako ya kitahahira humu jf.Watakutuma hadi kufua vyupi za wake wa viongozi wa magamba kwa uzezeta wako.Duh! kumbe Padre Slaa ana watoto wengine wa nje ya ndoa! huyu ndio mtu anaeruhusiwa kugombea Urais?
Kuna kila sababu inabidi Tanzania tuweke sheria za wagombea Urais zinazoendana na maadili ya mgombea na huu ni wakati muafaka kuliongelea tunapojadili Katiba mpya.
Mbona hatujawahi kuona watoto wa viongozi wakuu wa CCM kwenye shule za Kata?mbona hatujawai kuwaona kwenye maandamano ya chama??
Tafakari!!
kwa shida gani mpaka awatelekeze?kwa kweli inasikitisha sana kwa babu yetu mzee wetu slaa kutelekeza watoto wake aliowazaa.mungu amjalie imani awakumbuke katika maisha yake.
Duh! kumbe Padre Slaa ana watoto wengine wa nje ya ndoa! huyu ndio mtu anaeruhusiwa kugombea Urais?
Kuna kila sababu inabidi Tanzania tuweke sheria za wagombea Urais zinazoendana na maadili ya mgombea na huu ni wakati muafaka kuliongelea tunapojadili Katiba mpya.
(biblia) kutoka 20:14
usizini
mambo ya walawi 20:10
na mtu aziniye na mke wa mtu mwingine, naam, yeye aziniye na mke wa jirani yake, mtu mume aziniye, na mwanamke aziniye, hakika watauawa.
ina maana hauna ushahidi, nyie magwanda mpate mwanya namna hiyo muuachie? Dunia itageuka!
[h=3](Biblia) Kutoka 20:14[/h]Usizini
usikurupuke utaumbuka kwa yasokuhusu,wv unakusuta mbona mzinzi ndo mkuu wenu magamba,shame on you the primitiveMpaka sasa zijaelewa mantiki ya hii thread, umeleta ili tusifie uzinzi wa slaa au?
Vipi huyu alieko madarakani yeye hana?hoja nzuri zomba lakini huoni kama tutawanyima haki ya msingi ya kuongoza baadhi ya watu kwenye jamii, maana huku uraiani kuna watu makini sana ndoa zao zinaangukia kifungu 160 cha sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kama ilivyokuwa kwa aliekuwa Padre (Slaa) japokuwa walitofautiana kitu ambacho ni kawaida kwa binadamu kutofautiana (hata Mandela anaeheshimika duniani ndoa yake iliingia utata akavuta kitu kingine). Kikubwa hapa inatakiwa tuweke kigezo cha awe na familia mambo mengine jamii husika itafanya judgement based on vigezo ambazo imejiwekea nazo si zingine bali ni mila na desturi maana the way I see mara nyingi watu wanaojulikana huwa inaonekana kama hawastahili kuwa na matatizo katika mahusiano wakati na wao ni binadamu kama wengine.
Kwani Ritz 1 ni mtoto wa mama Mwanawasha?huyo raisi wako jk hana watoto wa nje ya ndoa? Usiwe kama zuzu
Kwani Ritz 1 ni mtoto wa mama Mwanawasha?