Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
WATOTO WA WAPIGANIA UHURU WANAPOINGIA KATIKA MASANDUKU YA NYARAKA ZA MAREHEMU WAZEE WAO
Nimepata kusema hapa siku chache zilizopita kuwa historia nyingi ya TANU na harakati za kupigania uhuru ipo katika mikono ya watu binafsi.
Kwa zaidi ya miaka 20 nilikuwa natafuta picha ya Ismail Bayumi bila mafanikio.
Siku chache zilizopita nililetewa na mtoto wake picha moja ya marehemu Ismail Bayumi na nikaiweka hapa.
Leo tena kaniletea picha ambayo kwa hakika nimeipenda kama alivyoipenda huyo mwanae aliyerusha picha hii.
Ismail Bayumi aliyefungua ''front,'' ya Tanganyika Mombasa kupambana na Waingereza Kenya ni huyo hapo chini:

Nimepata kusema hapa siku chache zilizopita kuwa historia nyingi ya TANU na harakati za kupigania uhuru ipo katika mikono ya watu binafsi.
Kwa zaidi ya miaka 20 nilikuwa natafuta picha ya Ismail Bayumi bila mafanikio.
Siku chache zilizopita nililetewa na mtoto wake picha moja ya marehemu Ismail Bayumi na nikaiweka hapa.
Leo tena kaniletea picha ambayo kwa hakika nimeipenda kama alivyoipenda huyo mwanae aliyerusha picha hii.
Ismail Bayumi aliyefungua ''front,'' ya Tanganyika Mombasa kupambana na Waingereza Kenya ni huyo hapo chini:
