Watoto wachanga uona na kuongea na malaika

Watoto wachanga uona na kuongea na malaika

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
416
Nimeamini kuwa watoto wachanga katika umri wao uona mengi sana ikiwa ni pamoja na kuwaona malaika na kucheka nao,ilikua hivi miezi mi 2 iliyopita Mungu kamjalia best yangu na kupata mtoto wa kike sasa huyu mtoto kila akilala usingizi mzito uwa anaota na kuanza kucheka anafurahi sana usingizini anatabasamu imethibitika kuwa uwa anawasiliana na Malaika wake ambao umfurahisha na kumchekesha.
 
Bonge la risechi aisee..... hongera kwa utafiti makini ....
 
Mbona hawa hawa watoto hucheka hata na nyoka? Hapa inakuwaje?
 
Lete ushahidi kuwa mtoto akicheka au kutabasamu usigizini anakuwa anaongea nå malaika
 
Kwa mpango huo malaika wangu atakua mbali sana na mimi sio ajabu hana hata kumbu kumbu kabisa dhambi hizi!¿?
 
Nimeamini kuwa watoto wachanga katika umri wao uona mengi sana ikiwa ni pamoja na kuwaona malaika na kucheka nao,ilikua hivi miezi mi 2 iliyopita Mungu kamjalia best yangu na kupata mtoto wa kike sasa huyu mtoto kila akilala usingizi mzito uwa anaota na kuanza kucheka anafurahi sana usingizini anatabasamu imethibitika kuwa uwa anawasiliana na Malaika wake ambao umfurahisha na kumchekesha.

Watoto ni innocent, hawana longolongo hawana dhambi, ndiyo maana huitwa Malaika na si hasha huwa wanaona na kuongea mengi, kufurahishwa na wakati mwengine kuchukizwa na tusiyoyaona sisi.

Jionee:

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom