Watoto wachanga uona na kuongea na malaika

Watoto wachanga uona na kuongea na malaika

mkuu watoto wachanga wanaona vingi sana vingine ukiambiwa ni ngumu kuamini

Sema tu, ntaamini. kwani nahitaji na nina shahuku kubwa kujua zaidi elimu kama hizi. au nikupe email yangu mkuu?
 
Nimeamini kuwa watoto wachanga katika umri wao uona mengi sana ikiwa ni pamoja na kuwaona malaika na kucheka nao,ilikua hivi miezi mi 2 iliyopita Mungu kamjalia best yangu na kupata mtoto wa kike sasa huyu mtoto kila akilala usingizi mzito uwa anaota na kuanza kucheka anafurahi sana usingizini anatabasamu imethibitika kuwa uwa anawasiliana na Malaika wake ambao umfurahisha na kumchekesha.

nanukuu sentensi ya mwisho "IMETHIBITIKA kuwa uwa anawasiliana na malaika wake ..." mwisho wa kunukuu. mkuu inaonekana kuna elimu unayo na nina kiu nayo. nahitaji kujua ving kutoka kwako msaada please.
 
Hiyo kweli hata mm naapritiate maana nina jamaa yangu hapa huwa akiwa usingizini hucheka na kutabasamu
 
Nimeamini kuwa watoto wachanga katika umri wao uona mengi sana ikiwa ni pamoja na kuwaona malaika na kucheka nao,ilikua hivi miezi mi 2 iliyopita Mungu kamjalia best yangu na kupata mtoto wa kike sasa huyu mtoto kila akilala usingizi mzito uwa anaota na kuanza kucheka anafurahi sana usingizini anatabasamu imethibitika kuwa uwa anawasiliana na Malaika wake ambao umfurahisha na kumchekesha.

Neno (IMETHIBITIKA) unalitumia vibaya.
Kama ni kweli tuambie malaika huyo alikuwa wa aina gani au alikuwa anamchekesha mtoto kwa kumfanyaje. Pia utueleze alikuwa anaelea angani au alikuwa amelala nae kitandani?.
 
Neno (IMETHIBITIKA) unalitumia vibaya.
Kama ni kweli tuambie malaika huyo alikuwa wa aina gani au alikuwa anamchekesha mtoto kwa kumfanyaje. Pia utueleze alikuwa anaelea angani au alikuwa amelala nae kitandani?.

Taratibu jamani tumuendee kwa upole na hekima huyu mtu. inaonekana kuna kaelimu anako. atumegee kidogo. hamuoni kasema IMETHIBITIKA
 
Taratibu jamani tumuendee kwa upole na hekima huyu mtu. inaonekana kuna kaelimu anako. atumegee kidogo. hamuoni kasema IMETHIBITIKA

Inawezekana aisee. Bora umeniambia ili atugawie elimu yake kidogo
 
Kwani haujawahi mshuhudia mtu mzima kalala anaota anacheka nabkufurahi kabisa?
 
Hivi huwa wanapiga stori gani na hao malaika??
 
Duu malaika gan...?
na kwann wao tu na sio sisi....?
Je n kwa kila mtoto ....?
 
Singles comments zao utazijua....I think if u have a baby at your home probably u may have confirmed this.
 
Back
Top Bottom