ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,979
Napenda kujua.Kipindi baada ya mvua kubwa za April kunyesha,watoto wengi chini ya umri wa miaka mitano(5 years) hushambuliwa na magonjwa yanayohusu mfumo wa upumuaji( mafua, kikohozi pneumonia ( nimonia) malaria na kuharisha.
Wazee wanasema ni kubadilisha hali ya hewa( climatic change)
Nini kinasababisha haya?
Wazee wanasema ni kubadilisha hali ya hewa( climatic change)
Nini kinasababisha haya?