MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hizi taarifa za watoto kuchinjwa chinjwa Tanzania zinaogofya sana.
Majirani zetu hawa wakiambiwa wanaongoza dunia kwa kutokua na furaha, wao hujitetea iweje Somalia wawe na furaha zaidi yao, hujitetea kwa kutumia Syria, Libya na kwengine, wanakosa kuelewa hamna kitu hunyima mtu raha kama kuishi kinafiki albino wanachinjwa, watoto wanachinjwa kisa ushirikina wa kutafuta utajiri.
Matukio mengi kwao hufanyika kimya kmya watu wanaumia kindani ndani ya kuficha.
Kingine, hakuna kitu hunyima mtu raha kama imani za kishirikina, wao wanaongoza kwa ushirikina na hiki kitu ni kibaya sana maana hulka za washirikina ni maisha ya chuki chuki, majungu na machungu, ukijenga nyumba matofali inabidi kwanza ujilinde usije ukarogwa, mwanao akifanikiwa mjini, inabidi siku akikutembelea kijijini asionyeshe dalili za mafanikio, maana mtarogwa nyote.
Maisha ya kitumwa.
-------------------
Parents of two children who died in mysterious circumstances have called on the government to investigate the causes of their deaths and bring suspects to book.
The parents were speaking at their home at Kizwite in Sumbawanga on Monday.
Mr Kipara Mwambage, whose children, disappeared before two of them were found dead in an unfinished building, urged authorities to thoroughly investigate the matter.
The children disappeared on Thursday after breakfast. He reported the incident to a police station and later continued on looking for them.
Ritual killings shock Sumbawanga
Majirani zetu hawa wakiambiwa wanaongoza dunia kwa kutokua na furaha, wao hujitetea iweje Somalia wawe na furaha zaidi yao, hujitetea kwa kutumia Syria, Libya na kwengine, wanakosa kuelewa hamna kitu hunyima mtu raha kama kuishi kinafiki albino wanachinjwa, watoto wanachinjwa kisa ushirikina wa kutafuta utajiri.
Matukio mengi kwao hufanyika kimya kmya watu wanaumia kindani ndani ya kuficha.
Kingine, hakuna kitu hunyima mtu raha kama imani za kishirikina, wao wanaongoza kwa ushirikina na hiki kitu ni kibaya sana maana hulka za washirikina ni maisha ya chuki chuki, majungu na machungu, ukijenga nyumba matofali inabidi kwanza ujilinde usije ukarogwa, mwanao akifanikiwa mjini, inabidi siku akikutembelea kijijini asionyeshe dalili za mafanikio, maana mtarogwa nyote.
Maisha ya kitumwa.
-------------------
Parents of two children who died in mysterious circumstances have called on the government to investigate the causes of their deaths and bring suspects to book.
The parents were speaking at their home at Kizwite in Sumbawanga on Monday.
Mr Kipara Mwambage, whose children, disappeared before two of them were found dead in an unfinished building, urged authorities to thoroughly investigate the matter.
The children disappeared on Thursday after breakfast. He reported the incident to a police station and later continued on looking for them.
Ritual killings shock Sumbawanga