watoto wake

nenda kwenye marriage revival party kule kwa lwakatare, anaongelea madhara ya divorce na mambo yanayofanana na hayo kwa wanawake na wanaume kama unataka kusolve kiroho.

Huyo Lwakatare mwambieni kwanza aka-revive marriage yake mwenyewe akishafanikiwa ndio aje ahubirie wengine, tofauti na hapo ni wizi mtupu!
 



maelezo marefuuuu but hayamsaidii mtoa thread kutatua tatizo lake, kwa ujumla upo nje ya mstari.
 
Huyo Lwakatare mnamtaja kuwa ana Marriage Revival class of some sort inanipa shida kidogo. Tunajua Getrude ni Mluguru na aliolewa na mhaya the one Lwakatare!!!! ambaye nafikiri ni Auditor!! Ndoa yao iliishilia shiii kabisa. Kama siyo wizi mtupu mbona haja revive ndoa yake na Lwakatare???? Acheni utapeli jamani. Hizi dini or famously known as makanisa ya kirohi kazi kweli kweli!!!!! Kila mjanza akiamka leo anaandika proposal kichwani ya kuanzisha huduma ya kiroho or kanisa!!! Wajanza kweli maana hakuna kodi huko!!!! so wakiagiza bidhaa nje kwa mgongo wa kanisa hakuna kodi!!!!!! Sadaka na mafungu ya kumi hakuna kodi!!!! Hayo ni mapato wanatakiwa waripoti TRA!!!! Ili kuingia nyumbani kwa Mtume na Nabii Mwingira (anavyojiita) ni mageti matatu yote yana security!!!! Kitendawili!!!! Moyo unaenda mbio nikianza kutafakari habari za makanisa ya kirohoa ya siku hizi. Nabii wa kweli ni yupi. Msaada kwenye tuta.
 


bado sijui joe dav mwenyewe anakwambia ngurumo ya upako, sijui mwingine nani yule yeye anasema chakula cha roho....haaaa
 
sheria ya nchi matunzo sh 200 kwa wiki....................,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…