Watoto wakikukataa mzazi achana nao upambana na maisha yako

Watoto wakikukataa mzazi achana nao upambana na maisha yako

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
2,345
Reaction score
6,970
Sina muda wa salaamu, tuko kwenye mfungo.

Kumekuwa na utaratibu wa kijinga ambao umejengeka miongoni mwa wa Tanzania baadhi wa kukumbatia mitoto isiyokuwa na adabu hata kidogo,sikatai yawezekana kabisa ni watoto wako na wanakuuma ile kishenzi,ila kutokana na tabia ambazo yamemezeshwa na mama zao yamekuwa mwiba mkali sana kwako,kwanini uendelee kuyabembeleza?

Wanawake wengi mnapoachana iwe kwa talaka halali au ile ya kila mtu afanye yake wamekuwa wakiwapandikiza chuki kubwa sana watoto,unakuta pengine kosa lilikuwa lake lililosababisha ukamuacha ila utaundiwa zengwe kwa watoto kiasi kwamba wewe ndiwe uonekane mbaya.

Unakuta mitoto imesoma hadi level ya chuo ambapo tunaamini tayari ni mtu mzima wa kuchanganua mema na mabaya lakini hayatafuti ukweli yenyewe unakuta yanaegemea kwa mama yao kila wanaloambiwa utadhani makondoo.

Mara oooh baba yenu alinitelekeza nyinyi mkiwa bado wadogo akaenda kuoa mwanamke mwingine.

Kwahiyo ulitegemea mwanaume akuache halafu aendelee kukaa bila mke?,Mnapowaambia watoto kuhusu mabaya ya baba yao jaribu kuwaambia ni kwanini alikuacha akaenda kuoa mwanamke mwingine,usitake kuwajengea chuki watoto mwisho na wao wakaja kuwa kama wewe mwanamke uliyeshindikana.

Unakuta mwanamke umempa talaka tena yeye ndiye aliyekuwa akiililia akishinikizwa na ndugu zake lakini cha ajabu ukishaoa mwanamke mwingine atatafuta mawasiliano yake ili amjaze maneno ya uongo na kukutengenezea ubaya.Wewe uliililia talaka kwanini usiende kuolewa na mwanaume mwingine?,Kwanini pamoja na kuachwa lakini bado unajipendekeza pendekeza?

Ajabu ni kwamba unakuta mtoto amekuja kukusalimia akirudi kwa mama yake,mama yake anaanza kumuuliza kati ya yeye na mkeo mpya nani mzuri?

WANAWAKE mkiwajaza watoto chuki dhidi ya baba zao wala msije mkadhani mnamkomoa mwanaume,unajikomoa wewe na mitoto yako,mwanaume ataoa na atazaa sana tu kupitia mwanamke mwingine na atawajali watoto wa mke mwingine kuliko unavyodhani.

UKIKOSA BARAKA YA BABA UMEKOSA VYOTE,HUU NDIYO UKWELI.


Endeleeni kuwadanganya watoto.
 
Sasa kama mama na baba wameachana kwani wewe baba unashindwa kuwatembelea wanao mara kwa mara?
Siku zao muhimu kama birthday, graduations hakikisha unakuwepo . Nunua kama ni nguo nk watumie au wapelekee maana ukituma hela mama yao anaweza asiseme.

Tatizo nyie mkiachana na mwanamke hamuangalii nyuma kuhusu watoto. Hamjui hata kwenda kuwatembelea watoto. Hata kama mama yao ndio sababu hakikisha unakuwa pale kwa ajili ya watoto wako na sio kutoa hela tu.
 
Mzazi - Mtoto - Mtu mzima.
Unaweza kuwa mzazi na usiwe mtu mzima. Vivo hivyo kwa mawili yaliyosalia.
Kama ilivyo kwa Mtoto hatakiwi kuwa na sababu mbele ya baba na kukufanya ibaki kuwa Baba na wewe kaka mkubwa baki kuwa Baba ht Kama watoto wanakukosea mno.
Tambua tu kuwahi au kujielewa kwa watu hakufanani.

Ponya nafsi yako, kuna siku watajua tu we ni MSHUA.
 
Sina muda wa salaamu, tuko kwenye mfungo.

Kumekuwa na utaratibu wa kijinga ambao umejengeka miongoni mwa wa Tanzania baadhi wa kukumbatia mitoto isiyokuwa na adabu hata kidogo,sikatai yawezekana kabisa ni watoto wako na wanakuuma ile kishenzi,ila kutokana na tabia ambazo yamemezeshwa na mama zao yamekuwa mwiba mkali sana kwako,kwanini uendelee kuyabembeleza?

Wanawake wengi mnapoachana iwe kwa talaka halali au ile ya kila mtu afanye yake wamekuwa wakiwapandikiza chuki kubwa sana watoto,unakuta pengine kosa lilikuwa lake lililosababisha ukamuacha ila utaundiwa zengwe kwa watoto kiasi kwamba wewe ndiwe uonekane mbaya.

Unakuta mitoto imesoma hadi level ya chuo ambapo tunaamini tayari ni mtu mzima wa kuchanganua mema na mabaya lakini hayatafuti ukweli yenyewe unakuta yanaegemea kwa mama yao kila wanaloambiwa utadhani makondoo.

Mara oooh baba yenu alinitelekeza nyinyi mkiwa bado wadogo akaenda kuoa mwanamke mwingine.

Kwahiyo ulitegemea mwanaume akuache halafu aendelee kukaa bila mke?,Mnapowaambia watoto kuhusu mabaya ya baba yao jaribu kuwaambia ni kwanini alikuacha akaenda kuoa mwanamke mwingine,usitake kuwajengea chuki watoto mwisho na wao wakaja kuwa kama wewe mwanamke uliyeshindikana.

Unakuta mwanamke umempa talaka tena yeye ndiye aliyekuwa akiililia akishinikizwa na ndugu zake lakini cha ajabu ukishaoa mwanamke mwingine atatafuta mawasiliano yake ili amjaze maneno ya uongo na kukutengenezea ubaya.Wewe uliililia talaka kwanini usiende kuolewa na mwanaume mwingine?,Kwanini pamoja na kuachwa lakini bado unajipendekeza pendekeza?

Ajabu ni kwamba unakuta mtoto amekuja kukusalimia akirudi kwa mama yake,mama yake anaanza kumuuliza kati ya yeye na mkeo mpya nani mzuri?

WANAWAKE mkiwajaza watoto chuki dhidi ya baba zao wala msije mkadhani mnamkomoa mwanaume,unajikomoa wewe na mitoto yako,mwanaume ataoa na atazaa sana tu kupitia mwanamke mwingine na atawajali watoto wa mke mwingine kuliko unavyodhani.

UKIKOSA BARAKA YA BABA UMEKOSA VYOTE,HUU NDIYO UKWELI.


Endeleeni kuwadanganya watoto.
majadiliano na mapatano ni dawa ya kila ugomvi.
 
binafsi ninapotunza watoto au ninapohangaika kwa ajili ya watoto huwa nafanya sio kwa lengo waje wanisaidie au niwe mtumwa wao. kulea watoto ulaya ni janga kubwa sana na kitu le mutuz alikosea ni kuoa mtu ulaya na kuacha watoto kule. binafsi hata watoto wangu huwa nawaambia, siwasaidii ili niwe mtumwa wenu au kwa lengo la kutaka mje mnisaidie, nawasaidia bure unconditional. hivyo hata mkinikataa potelea mbali kabisa, mkinikubali tupo pamoja fresh. siwezi kuwa mtumwa kwa mbegu yangu hata siku moja. wale watoto wa le mutuz kuna siku watatamani wangelikuwa na baba hata mjinga tu lakini hayupo, na yote hayo ni mama yao mwenye akili ya mange kimambi ndio kawajaza matakataka.
 
Sasa Mzee, issue za kifamilia ndio umeamua kuzileta humu JF?

Anyways ..fresh tu nshakusoma!


#PozkwaPozHapa
 
Sasa kama mama na baba wameachana kwani wewe baba unashindwa kuwatembelea wanao mara kwa mara?
Siku zao muhimu kama birthday, graduations hakikisha unakuwepo . Nunua kama ni nguo nk watumie au wapelekee maana ukituma hela mama yao anaweza asiseme.

Tatizo nyie mkiachana na mwanamke hamuangalii nyuma kuhusu watoto. Hamjui hata kwenda kuwatembelea watoto. Hata kama mama yao ndio sababu hakikisha unakuwa pale kwa ajili ya watoto wako na sio kutoa hela tu.
Mwanamke anataka mkiachana uendelee kukaa tu bila kuoa,akisikia umeoa tu ndiyo chuki zinaanza na anaanza kuwamezesha na watoto.

Aliyekwambia kununua Gifts siku ya Birthday na kuwapelekea watoto ndiyo hawamezeshwi sumu ni nani?,Hivi wanawake unawajua au unawasikia?

Hata wewe ni mwanamke nafahamu na tabia zenu huwa zinashabihiana!
 
binafsi ninapotunza watoto au ninapohangaika kwa ajili ya watoto huwa nafanya sio kwa lengo waje wanisaidie au niwe mtumwa wao. kulea watoto ulaya ni janga kubwa sana na kitu le mutuz alikosea ni kuoa mtu ulaya na kuacha watoto kule. binafsi hata watoto wangu huwa nawaambia, siwasaidii ili niwe mtumwa wenu au kwa lengo la kutaka mje mnisaidie, nawasaidia bure unconditional. hivyo hata mkinikataa potelea mbali kabisa, mkinikubali tupo pamoja fresh. siwezi kuwa mtumwa kwa mbegu yangu hata siku moja. wale watoto wa le mutuz kuna siku watatamani wangelikuwa na baba hata mjinga tu lakini hayupo, na yote hayo ni mama yao mwenye akili ya mange kimambi ndio kawajaza matakataka.
Yah..very sad but it is true mkuu..Just do unconditionally...
 
Nakazia , ni upumbavu kunyenyekea vitoto ambavyo havijui wajibu na mamlaka ya Baba , kisa hadithi za uongo na kweli za mama in fact mwanaume umeumbiwa kupambana kwa jasho mpak utakapoirudia ardhi , ni jukumu lako la kuilinda na kuihudumia familia kwa kadri ya uwezavyo lakini kunyenyekea watoto ni jukumu ambalo mwanaume hajapewa
 
imagine vile wakati mwingine hadi unaishi vibaya kwa kujibana ili watoto wako wapate mahitaji ya msingi, umeanzia tangu mimba vimekusumbua weee, hadi ukubwani, halafu vinakushikia pua? kitu kikubwa wasichojua ni kwamba, hata kama baba ni mbaya namna gani, baba ni baba, na kuna baraka ya baba. babako hata kama mbaya namna gani, akikutamkia mazuri yatakupata, akikutamkia mabaya yatakupata. baba na mama ni miungu ya pili, ndio maana hata Mungu alisema waheshimu baba yako na mama yako upate kuwa na siku nyingi hapa duniani. watoto wa le mutuz wamemtukana baba yao matusi mazito. siwezi kuwalaumu labda kutokana na uchafu ambao mama yao amewajaza. ila kuna siku watajilaumu sana, siku ambayo na wao watajikuta wapo na responsibilities kwa watoto wao, na watamwelewa baba yao alikuwaje na mama yao alikuwaje.

binafsi huwa simkubali lemutuz. ila kwa hili, kuna mtu asiyeyajua maisha ya huyu jamaa tangu arudi toka USA tena kwa kutoroka kwasabasbu mwanamke huyo (ambaye ameshaolewa) alitaka kumpiga pin awe mtumwa wake forever? jamaa alikuwa anakimbia yaani na alinusurika hata asingerudi huku. halafu vitoto vyake leo vinakuja kumtukana? vilikuwa wapi siku ile le mutuz yupo na mama yao kitandani wanagegedana kuvitafuta? hiyo sauti vinaitoa wapi? watoto wamefika university lakini wamekuwa wajinga kabisa. na kuna uwezekano huyo mwanamke hata watoto alikuwa hapeleki kusali manake hata Mungu hawamjui.
 
Mwanaume usimpe mkeo hela ya ada, shopping, nk kwa ajili ya watoto chumbani, mpe mbele ya watoto waone. Wapo wanawake wenye sumu akienda shopping, au kulipa ada na mtoto au watoto uwalisha sumu. " Tazameni Mimi mama yenu ndie napambana angalia nawalipia ada, nawafanyia shipping baba yenu ni mlevi na malaya tu awajali" kama ulimpa pesa huku watoto wanaona akiongea utumbo huo mbele yao watamcrash watamproof wrong.
 
Sasa kama mama na baba wameachana kwani wewe baba unashindwa kuwatembelea wanao mara kwa mara?
Siku zao muhimu kama birthday, graduations hakikisha unakuwepo . Nunua kama ni nguo nk watumie au wapelekee maana ukituma hela mama yao anaweza asiseme.

Tatizo nyie mkiachana na mwanamke hamuangalii nyuma kuhusu watoto. Hamjui hata kwenda kuwatembelea watoto. Hata kama mama yao ndio sababu hakikisha unakuwa pale kwa ajili ya watoto wako na sio kutoa hela tu.
umeongea point
 
Back
Top Bottom