Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe baba kwa nini uwachokoze watoto wako? Hata maandiko yanakataza!Sina muda wa salaamu, tuko kwenye mfungo.
Kumekuwa na utaratibu wa kijinga ambao umejengeka miongoni mwa wa Tanzania baadhi wa kukumbatia mitoto isiyokuwa na adabu hata kidogo,sikatai yawezekana kabisa ni watoto wako na wanakuuma ile kishenzi,ila kutokana na tabia ambazo yamemezeshwa na mama zao yamekuwa mwiba mkali sana kwako,kwanini uendelee kuyabembeleza?
Wanawake wengi mnapoachana iwe kwa talaka halali au ile ya kila mtu afanye yake wamekuwa wakiwapandikiza chuki kubwa sana watoto,unakuta pengine kosa lilikuwa lake lililosababisha ukamuacha ila utaundiwa zengwe kwa watoto kiasi kwamba wewe ndiwe uonekane mbaya.
Unakuta mitoto imesoma hadi level ya chuo ambapo tunaamini tayari ni mtu mzima wa kuchanganua mema na mabaya lakini hayatafuti ukweli yenyewe unakuta yanaegemea kwa mama yao kila wanaloambiwa utadhani makondoo.
Mara oooh baba yenu alinitelekeza nyinyi mkiwa bado wadogo akaenda kuoa mwanamke mwingine.
Kwahiyo ulitegemea mwanaume akuache halafu aendelee kukaa bila mke?,Mnapowaambia watoto kuhusu mabaya ya baba yao jaribu kuwaambia ni kwanini alikuacha akaenda kuoa mwanamke mwingine,usitake kuwajengea chuki watoto mwisho na wao wakaja kuwa kama wewe mwanamke uliyeshindikana.
Unakuta mwanamke umempa talaka tena yeye ndiye aliyekuwa akiililia akishinikizwa na ndugu zake lakini cha ajabu ukishaoa mwanamke mwingine atatafuta mawasiliano yake ili amjaze maneno ya uongo na kukutengenezea ubaya.Wewe uliililia talaka kwanini usiende kuolewa na mwanaume mwingine?,Kwanini pamoja na kuachwa lakini bado unajipendekeza pendekeza?
Ajabu ni kwamba unakuta mtoto amekuja kukusalimia akirudi kwa mama yake,mama yake anaanza kumuuliza kati ya yeye na mkeo mpya nani mzuri?
WANAWAKE mkiwajaza watoto chuki dhidi ya baba zao wala msije mkadhani mnamkomoa mwanaume,unajikomoa wewe na mitoto yako,mwanaume ataoa na atazaa sana tu kupitia mwanamke mwingine na atawajali watoto wa mke mwingine kuliko unavyodhani.
UKIKOSA BARAKA YA BABA UMEKOSA VYOTE,HUU NDIYO UKWELI.
Endeleeni kuwadanganya watoto.
Umeeleza kitu real mkuu shida hiyo yote husababishwa na wanawake. Hawa viumbe huwamezesha sumu sana watoto hasa Endapo na wewe umepanic ukasitisha huduma hapo ndio utakuwa umeharibu kabisaSina muda wa salaamu, tuko kwenye mfungo.
Kumekuwa na utaratibu wa kijinga ambao umejengeka miongoni mwa wa Tanzania baadhi wa kukumbatia mitoto isiyokuwa na adabu hata kidogo,sikatai yawezekana kabisa ni watoto wako na wanakuuma ile kishenzi,ila kutokana na tabia ambazo yamemezeshwa na mama zao yamekuwa mwiba mkali sana kwako,kwanini uendelee kuyabembeleza?
Wanawake wengi mnapoachana iwe kwa talaka halali au ile ya kila mtu afanye yake wamekuwa wakiwapandikiza chuki kubwa sana watoto,unakuta pengine kosa lilikuwa lake lililosababisha ukamuacha ila utaundiwa zengwe kwa watoto kiasi kwamba wewe ndiwe uonekane mbaya.
Unakuta mitoto imesoma hadi level ya chuo ambapo tunaamini tayari ni mtu mzima wa kuchanganua mema na mabaya lakini hayatafuti ukweli yenyewe unakuta yanaegemea kwa mama yao kila wanaloambiwa utadhani makondoo.
Mara oooh baba yenu alinitelekeza nyinyi mkiwa bado wadogo akaenda kuoa mwanamke mwingine.
Kwahiyo ulitegemea mwanaume akuache halafu aendelee kukaa bila mke?,Mnapowaambia watoto kuhusu mabaya ya baba yao jaribu kuwaambia ni kwanini alikuacha akaenda kuoa mwanamke mwingine,usitake kuwajengea chuki watoto mwisho na wao wakaja kuwa kama wewe mwanamke uliyeshindikana.
Unakuta mwanamke umempa talaka tena yeye ndiye aliyekuwa akiililia akishinikizwa na ndugu zake lakini cha ajabu ukishaoa mwanamke mwingine atatafuta mawasiliano yake ili amjaze maneno ya uongo na kukutengenezea ubaya.Wewe uliililia talaka kwanini usiende kuolewa na mwanaume mwingine?,Kwanini pamoja na kuachwa lakini bado unajipendekeza pendekeza?
Ajabu ni kwamba unakuta mtoto amekuja kukusalimia akirudi kwa mama yake,mama yake anaanza kumuuliza kati ya yeye na mkeo mpya nani mzuri?
WANAWAKE mkiwajaza watoto chuki dhidi ya baba zao wala msije mkadhani mnamkomoa mwanaume,unajikomoa wewe na mitoto yako,mwanaume ataoa na atazaa sana tu kupitia mwanamke mwingine na atawajali watoto wa mke mwingine kuliko unavyodhani.
UKIKOSA BARAKA YA BABA UMEKOSA VYOTE,HUU NDIYO UKWELI.
Endeleeni kuwadanganya watoto.
Acheni kijidanganya hakuna mtu anaweza kupandikiza sumu watoto wanamini wanayoyaona..wewe ni mzee umeachana na mkeo basi tunza wanao, watembelee shule, peleka nguo, madaftari, onesha upendo kwa wanao hawatakusahau katika kila step ya maisha yake una msupport hata kama mama yake akiwa anamuambia kwamba baba yako ni katili atakua anamuona snitch na wala hata kama mama akiwa anatupa vitu mtoto anaangalia. Siku akiwa mtu mzima atasema baba alikua anafanya hivi mama akawa anvaichoma'Sina muda wa salaamu, tuko kwenye mfungo.
Kumekuwa na utaratibu wa kijinga ambao umejengeka miongoni mwa wa Tanzania baadhi wa kukumbatia mitoto isiyokuwa na adabu hata kidogo,sikatai yawezekana kabisa ni watoto wako na wanakuuma ile kishenzi,ila kutokana na tabia ambazo yamemezeshwa na mama zao yamekuwa mwiba mkali sana kwako,kwanini uendelee kuyabembeleza?
Wanawake wengi mnapoachana iwe kwa talaka halali au ile ya kila mtu afanye yake wamekuwa wakiwapandikiza chuki kubwa sana watoto,unakuta pengine kosa lilikuwa lake lililosababisha ukamuacha ila utaundiwa zengwe kwa watoto kiasi kwamba wewe ndiwe uonekane mbaya.
Unakuta mitoto imesoma hadi level ya chuo ambapo tunaamini tayari ni mtu mzima wa kuchanganua mema na mabaya lakini hayatafuti ukweli yenyewe unakuta yanaegemea kwa mama yao kila wanaloambiwa utadhani makondoo.
Mara oooh baba yenu alinitelekeza nyinyi mkiwa bado wadogo akaenda kuoa mwanamke mwingine.
Kwahiyo ulitegemea mwanaume akuache halafu aendelee kukaa bila mke?,Mnapowaambia watoto kuhusu mabaya ya baba yao jaribu kuwaambia ni kwanini alikuacha akaenda kuoa mwanamke mwingine,usitake kuwajengea chuki watoto mwisho na wao wakaja kuwa kama wewe mwanamke uliyeshindikana.
Unakuta mwanamke umempa talaka tena yeye ndiye aliyekuwa akiililia akishinikizwa na ndugu zake lakini cha ajabu ukishaoa mwanamke mwingine atatafuta mawasiliano yake ili amjaze maneno ya uongo na kukutengenezea ubaya.Wewe uliililia talaka kwanini usiende kuolewa na mwanaume mwingine?,Kwanini pamoja na kuachwa lakini bado unajipendekeza pendekeza?
Ajabu ni kwamba unakuta mtoto amekuja kukusalimia akirudi kwa mama yake,mama yake anaanza kumuuliza kati ya yeye na mkeo mpya nani mzuri?
WANAWAKE mkiwajaza watoto chuki dhidi ya baba zao wala msije mkadhani mnamkomoa mwanaume,unajikomoa wewe na mitoto yako,mwanaume ataoa na atazaa sana tu kupitia mwanamke mwingine na atawajali watoto wa mke mwingine kuliko unavyodhani.
UKIKOSA BARAKA YA BABA UMEKOSA VYOTE,HUU NDIYO UKWELI.
Endeleeni kuwadanganya watoto.
inakua ngumu watoto kukubaliana nae kwasababu wanamuona baba yao karibu kwenye kila tukio la muhimu na mahitaji yao anawatimizia vizuriHata kama akifanya hivo bado mama anaweza sana kujenga taswira mbaya ya baba kwa watoto kwasababu yeye ndo anaishi nao.....
kweli.....inakua ngumu watoto kukubaliana nae kwasababu wanamuona baba yao karibu kwenye kila tukio la muhimu na mahitaji yao anawatimizia vizuri
Nikuongezee hapo. Uwe makini na maneno yanayosindikiza hiyo hela. Isiwe km unawasimanga, isiwe km wamekubebesha mzigo...kumbuka familia sio mzigo.Mwanaume usimpe mkeo hela ya ada, shopping, nk kwa ajili ya watoto chumbani, mpe mbele ya watoto waone. Wapo wanawake wenye sumu akienda shopping, au kulipa ada na mtoto au watoto uwalisha sumu. " Tazameni Mimi mama yenu ndie napambana angalia nawalipia ada, nawafanyia shipping baba yenu ni mlevi na malaya tu awajali" kama ulimpa pesa huku watoto wanaona akiongea utumbo huo mbele yao watamcrash watamproof wrong.
Mwanamke anataka mkiachana uendelee kukaa tu bila kuoa,akisikia umeoa tu ndiyo chuki zinaanza na anaanza kuwamezesha na watoto.
Aliyekwambia kununua Gifts siku ya Birthday na kuwapelekea watoto ndiyo hawamezeshwi sumu ni nani?,Hivi wanawake unawajua au unawasikia?
Hata wewe ni mwanamke nafahamu na tabia zenu huwa zinashabihiana!
Kuna litoto limoja Hapa linanisumbua tu nishalitimua bado lipo sijui linangoja nini kila muda kununanuna tu.
Ngoja tu, siku ntagonga vyombo vyangu ndo atajua km kumbe ana baba Mwehu kabisa
Si unakumbushia tabia za zamani tu,Sasa kama wewe ni mwehu” ulitaka uzae mtoto awe saint?? Shame!
Reap what you sow.