Watoto walazimishwe kuanza hustling likizo na weekends, Kizazi cha vijana wa sasa jobless ni matokeo ya kusoma sana wakati hakuna ajira za kutosha

Watoto walazimishwe kuanza hustling likizo na weekends, Kizazi cha vijana wa sasa jobless ni matokeo ya kusoma sana wakati hakuna ajira za kutosha

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Zile zama za kuwa na uhakika wa ajira ukiwa na elimu zilishapita kitambo sana.

Hali imebadilika mostly kuanzia 2010 soko la ajira za kisomi limekuwa gumu sana, Ajira nyingi inabidi uwe na CONNECTION aidha uwe na mtu wa kukushika mkono au umjue wa kumpa rushwa uingie, Ni kweli wapo wanaoingia kwa vigezo lakini kwa kitakwimu ajira nyingi wanapata wenye connection.

Vijana wengi sana ni jobless wana diploma / degrees hadi masters, wakimaliza vyuo wataanza kuhangaika kutafuta ajira na kujitolea maofisni, kama ni biashara huwa ni ya kuzugia tu, wakifika 28 - 30 ndipo akili inastuka kuuona uhalisia mchungu muda unakwenda kwa speed, too bad hawana uzoefu wa kuhustle, wanapata wakati mgumu sana kujifunza ku hustle mara ya kwanza katika maisha yao.

Kuhustle lazima upitie changamoto ambazo mara nyingi huwa zinavunja mioyo na matumaini, ni advantage ukipitia hali hizi unapokuwa mdogo kuliko unapokuwa mtu mzima, ndio maana wahitimu wengi wakianzisha miradi au biashara wakipata changamoto kama kuibiwa, kula loss, n.k. huwa inakuwa ngumu kuinuka tena, wengi wanakata tamaa wanarudi mitaani, ni sawa na mtu ambae anaanza mapenzi ukubwani, akisalitiwa inakuwa ngumu kumove on tofauti na wale wanaoanza sekondari.

Watoto wafunzwe hata kusimamia vishughuli vidogo vidogo waijue complete process ya kuhustle mpaka kuyapata matunda, halafu pesa inapopatikana itumike au0 kujumuishwa kwenye ada za shule, mavazi, sometimes msosi wa familia n.k. wajue mapema nidhamu ya pesa kwamba inapatikana kwa jasho itumike kwa umakini (nidhamu ya pesa) na kuna mambo muhimu kuliko anasa za dunia

kama ni kulima wasiishie kushika jembe, wazijue gharama za kilimo mpaka hatua za kuyauza mazao baada ya mavuno, hata kama kalima robo ekari, pesa ikipatikana unampa aende kununua mahitaji ya shule, aujue uchungu wa pesa.

kama upo mjini wajifunze hata kutengeneza barafu wawe na jukumu la kuzitengeneza na kuziuza, wakitaka kitu fulani unatumia pesa yao.

Shuguli nyinginezo ni ufugaji, kupika, kufuma mikeka, udobi, ufundi, n.k.

Haialishi wewe ni tajiri kiasi gani, watoto wako at least wajue kutafuta pesa na wawe na niidhamu ya pesa,
 
Zile zama za kuwa na uhakika wa ajira ukiwa na elimu zilishapita kitambo sana.

Hali imebadilika mostly kuanzia 2010 soko la ajira za kisomi limekuwa gumu sana, Ajira nyingi inabidi uwe na CONNECTION aidha uwe na mtu wa kukushika mkono au umjue wa kumpa rushwa uingie, Ni kweli wapo wanaoingia kwa vigezo lakini kwa kitakwimu ajira nyingi wanapata wenye connection.

Vijana wengi sana ni jobless wana diploma / degrees hadi masters, wakimaliza vyuo wataanza kuhangaika kutafuta ajira na kujitolea maofisni, kama ni biashara huwa ni ya kuzugia tu, wakifika 28 - 30 ndipo akili inastuka kuuona uhalisia mchungu muda unakwenda kwa speed, too bad hawana uzoefu wa kuhustle, wanapata wakati mgumu sana kujifunza ku hustle mara ya kwanza katika maisha yao.

Kuhustle lazima upitie changamoto ambazo mara nyingi huwa zinavunja mioyo na matumaini, ni advantage ukipitia hali hizi unapokuwa mdogo kuliko unapokuwa mtu mzima, ndio maana wahitimu wengi wakianzisha miradi au bioshara wakipata changamoto kama kuibiwa, kula loss, n.k. huwa inakuwa ngumu kuinuka tena, wengi wanakata tamaa wanarudi mitaani, ni sawa na mtu ambae anaanza mapenzi ukubwani, akisalitiwa inakuwa ngumu kutafuta mwengine. The earleier the better,

Watoto wafunzwe hata kusimamia vishughuli vidogo vidogo waijue complete process ya kuhustle, pesa inapopatikana iende kujumuishwa kwenye ada za shule, mavazi, n.k. wajue mapema nidhamu ya pesa kwamba inapatikana kwa jasho,

kama ni kulima wajue pia process za kuuza mpaka pesa inaingia mkononi sio wanashinda mashambani tu, pesa ikipatikana unampa aende kununua mahitaji ya shule, aujue uchungu wa pesa

kama upo mjini wajifunze hata kutengeneza barafu wawe na jukumu la kuziuza, wakitaka kitu fulani unatumia pesa yao, wajue kutafuta na nidhamu

Shuguli nyinginezo ni ufugaji, kupika, kufuma mikeka, udobi, ufundi, n.k.

Haialishi wewe ni tajiri kiasi gani, watoto wako at least wajue kutafuta pesa na wawe na niidhamu ya pesa

Mimi nimeanza kufanya biashara around 7 ,so ni muhimu wazazi wawafunze watoto hustling.
 
Zile zama za kuwa na uhakika wa ajira ukiwa na elimu zilishapita kitambo sana.

Hali imebadilika mostly kuanzia 2010 soko la ajira za kisomi limekuwa gumu sana, Ajira nyingi inabidi uwe na CONNECTION aidha uwe na mtu wa kukushika mkono au umjue wa kumpa rushwa uingie, Ni kweli wapo wanaoingia kwa vigezo lakini kwa kitakwimu ajira nyingi wanapata wenye connection.

Vijana wengi sana ni jobless wana diploma / degrees hadi masters, wakimaliza vyuo wataanza kuhangaika kutafuta ajira na kujitolea maofisni, kama ni biashara huwa ni ya kuzugia tu, wakifika 28 - 30 ndipo akili inastuka kuuona uhalisia mchungu muda unakwenda kwa speed, too bad hawana uzoefu wa kuhustle, wanapata wakati mgumu sana kujifunza ku hustle mara ya kwanza katika maisha yao.

Kuhustle lazima upitie changamoto ambazo mara nyingi huwa zinavunja mioyo na matumaini, ni advantage ukipitia hali hizi unapokuwa mdogo kuliko unapokuwa mtu mzima, ndio maana wahitimu wengi wakianzisha miradi au biashara wakipata changamoto kama kuibiwa, kula loss, n.k. huwa inakuwa ngumu kuinuka tena, wengi wanakata tamaa wanarudi mitaani, ni sawa na mtu ambae anaanza mapenzi ukubwani, akisalitiwa inakuwa ngumu kumove on tofauti na wale wanaoanza sekondari.

Watoto wafunzwe hata kusimamia vishughuli vidogo vidogo waijue complete process ya kuhustle mpaka kuyapata matunda, halafu pesa inapopatikana itumike au0 kujumuishwa kwenye ada za shule, mavazi, sometimes msosi wa familia n.k. wajue mapema nidhamu ya pesa kwamba inapatikana kwa jasho itumike kwa umakini (nidhamu ya pesa) na kuna mambo muhimu kuliko anasa za dunia

kama ni kulima wajue pia process za kuuza mpaka pesa inaingia mkononi sio wanashinda mashambani tu, pesa ikipatikana unampa aende kununua mahitaji ya shule, aujue uchungu wa pesa

kama upo mjini wajifunze hata kutengeneza barafu wawe na jukumu la kuziuza, wakitaka kitu fulani unatumia pesa yao, wajue kutafuta na nidhamu

Shuguli nyinginezo ni ufugaji, kupika, kufuma mikeka, udobi, ufundi, n.k.

Haialishi wewe ni tajiri kiasi gani, watoto wako at least wajue kutafuta pesa na wawe na niidhamu ya pesa
Hauna elimu wewe. Tafuta elimu acha kujifariji. Internet unayoitumia ni matokeo ya watu wenye elimu.

Hiyo Diamond Platinumz na pesa zake zote, Mwambie atengeneze Mixers na vinanda kama ataweza..
 
Hauna elimu wewe. Tafuta elimu acha kujifariji. Internet unayoitumia ni matokeo ya watu wenye elimu.

Hiyo Diamond Platinumz na pesa zake zote, Mwambie atengeneze Mixers na vinanda kama ataweza..
Elimu ni bahari, ukijua chochote basi una elimu ya kitu fulani lakini huwezi kujua kila kitu.

Hapa duniani usipoweza ku survive maisha huwa ni magumu sana, hivyo yafaa watoto wapewe elimu ya msingi ya kuweza kusurvive, elimu ya darasani ina ufunguo wake lakini inafungua baadhi ya makufuli, sio makufuli yote

FB_IMG_1737393651650.jpg
 
Back
Top Bottom