Watoto wanatakiwa kutazamwa, siyo kusikilizwa

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Nimeliona sasa hivi hili tatizo la Pauline Gekul. Sikuwepo mtandaoni kwa siku kadhaa.

Nasema mambo[maamuzi] yasifanyike kwa mihemuko. Kama kuna mtu ameumia, muadhibu yule Mbunge{Pauline].

Lakini usifanye mambo kwa mihemuko,na kuanza kusema kwamba huyu mtoto bila shaka amepata stress sana.[au 'stretch'' would be a better word].

Ndio Waingereza wanao huo msemo,''Children should be seen,not heard''. Mtoto analia, muulize,''Unalia,nani amekupiga?''. Si vinginevyo.

Huyo mtoto ukimpa shilingi millioni tano,kumi ,kumi na tano,probably atasema,''Yeye ana huruma sana. Ameshamsamehe Pauline Gekul"".
 
Nafikiri sijakupata kaka... Nimetoka kapa. Ebu fafanua kidogo
 
Nasema watu wengine ni wasanii. Mtu akilia haina maana kamba ana matatizo yoyote. Kwa hiyo maneno ya wazabizabina yasisikilizwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…