Watoto wanne wauawa kwa mashambulizi ya mabomu Gaza

Watoto wanne wauawa kwa mashambulizi ya mabomu Gaza

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Watoto wanne na Wanamgabo kadhaa wa Palestina wameuawa katika mashambulizi ya mabomu yaliyotokea Ukanda wa Gaza ikiwa ni siku ya pili tangu kuanza kwa mashambulizi kutoka kwa vikosi vya Israel.

Israel imeonya kuwa mashambulizi yake hayo yanaweza kuendelea kwa muda wa wiki moja, ambapo wamesababisha uharibifu wa majengo mengi.

Idadi ya watu waliouawa tangu kuanza kwa mashambulizi hayo ni 24, jumla ya watoto wakiwa ni 6 kati yao. Idadi ya waliojeruhiwa ni 204.



00000000000000


Top fighter, several children killed as Israel bombs Gaza

Second Islamic Jihad commander, four more Palestinian children killed in Gaza Strip as Israel attacks coastal enclave for a second day.

A senior commander of a Palestinian armed group and several children have been killed in the Gaza Strip as Israeli jets bombed the besieged enclave for a second day.

In a statement on Sunday, Islamic Jihad confirmed that Khaled Mansour, its commander in the south of the Gaza Strip, had been killed in an Israeli raid on Saturday.

Mansour is the second high-ranking member of Islamic Jihad to be killed since Israel began attacking Gaza on Friday, when it assassinated the group’s commander in the north, Taysir al-Jabari.

Israel has warned that its campaign against Islamic Jihad could last a week, and its attacks on Gaza have destroyed apartment buildings and struck refugee camps.

At least four children were killed in a blast close to the Jabaliya refugee camp on Saturday, according to Hamas, the group that governs the Gaza Strip. It blamed Israel for the deaths, but the military denied any responsibility, saying the explosion was caused by a failed rocket launched by Islamic Jihad.

Al Jazeera could not verify the claims immediately.

The latest deaths bring the tally of children killed since Friday to six, and the total toll among Palestinians to 24. At least 204 others have also been wounded, according to the health ministry in Gaza.

Palestinian fighters have responded to the bombings by launching more than 400 rockets at Israel. Most of the rockets were intercepted, and there have been no reports of serious casualties, according to the Israeli ambulance service.

The violence has raised fears of another war on Gaza by Israel, just 15 months after a month-long conflict that killed more than 260 people.

“The last war caused widespread devastation here in the Gaza Strip. A year later, there has been almost no reconstruction,” Al Jazeera’s Youmna ElSayed said, reporting from Gaza City. “This isolated coastal territory is impoverished, its people are barely recovering. And many fear another round of escalation.”


Source: Aljazeera
 
... Palestinians waache ugaidi wao unawaponza. Waishi kwa amani.
 
Ukikuta muislam anaelezea mambo ya dini, history na kujadili mambo ya kimataifa msome/msikilize kwa tahadhari kubwa sana.
Narudi, Ukikuta muislam anazungumzia vitu nilivyovitaja hapo juu MSIKILIZE /MSOME kwa tahadhari kubwa sana.

Ukitafuta chanzo halisi cha kuvurumshwa kwa makombora yaliyochukua uhai wa hao watoto you can't pity them.
 
ninajaribu kujiuliza je na hao watoto pia watapewa mabikra 30 kama zawadi? baada ya kufa?
 
Hii ni operation ya siku chache ya kupambana na magaidi.
 
Magaidi lazima yauwawe kukute pale yalipo..mana huwafunga watoto wadogo suicide vest wajilipue kuua watu wasio na hatia kwa illusion za kiimani..shenzi kabisa.

Waliofariki bila hatia wapumzike kwa amani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ni
Magaidi lazima yauwawe kukute pale yalipo..mana huwafunga watoto wadogo suicide vest wajilipue kuua watu wasio na hatia kwa illusion za kiimani..shenzi kabisa.

Waliofariki bila hatia wapumzike kwa amani.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Washakufa we inakuhusu nn shoga
 
Ukikuta muislam anaelezea mambo ya dini, history na kujadili mambo ya kimataifa msome/msikilize kwa tahadhari kubwa sana.
Narudi, Ukikuta muislam anazungumzia vitu nilivyovitaja hapo juu MSIKILIZE /MSOME kwa tahadhari kubwa sana.

Ukitafuta chanzo halisi cha kuvurumshwa kwa makombora yaliyochukua uhai wa hao watoto you can't pity them.
Sema unachotaka kusema sisi waislamu tuna nn? Kwa nn unakuwa na mitazamo ya ovyo juu yetu tufukuzeni katika hii nchi mbaki wenyewe..
 
Back
Top Bottom