Muarubaini
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 222
- 48
masikin cku hiz na vidgree vyetu tunaishia kuwa waalimu , kwenye nafasi nyingine kama huna mjomba huko imekula kwako. Watakuambia jiajira wakati watoto wakimaliza chuo ni BOT, Tra, nhif. Pspf, ewura n.k
nakubali mkuu !ipo sikuHaya ni mapito tu. Ipo day itafahamika tu.
kweli kabisa ndugu !vijana wengi hawataki kujishusha wanataka kuwa seniors wakati juniors officers hawajapitahuwa wengi tunataka tuanze na dream job..jaman anza na kaz yoyote ht ktk compny za usafi.. then humo ndani unapata channel na info sasa..ukiwa nje kupata taarifa ishu ndugu..mifano watu waloanza chini ipo..msichoke kutafuta..
kazi inatakiwa iendane na thamani ya elimu yako huwezi kutumia millioni tano kwenye kusoma degree afu ufanye kazi ya laki mbili hiyo ni hasara kubwahuwa wengi tunataka tuanze na dream job..jaman anza na kaz yoyote ht ktk compny za usafi.. then humo ndani unapata channel na info sasa..ukiwa nje kupata taarifa ishu ndugu..mifano watu waloanza chini ipo..msichoke kutafuta..
watoto wa wakulima tutaendelea kuumia sana.....mwantumu mahiza ana mdogo wake tulisoma naye udom akampigia pandea nssf afu yeye anatuambia tufuge kuku,,,,usenge sana huu
kaka lugha kali sana! wasameheme bure mungu yupo!
masikin cku hiz na
vidgree vyetu tunaishia kuwa waalimu , kwenye nafasi nyingine kama huna
mjomba huko imekula kwako. Watakuambia jiajira wakati watoto wakimaliza
chuo ni BOT, Tra, nhif. Pspf, ewura n.k