Watoto watekwa Tanzania

Yukina

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2017
Posts
201
Reaction score
112
Wazazi tuweni macho mchezo mbaya umeibuka Watoto wa rika zoote wanatekwa Tanzania karibu kila siku!! Kwanini Serikali yetu imekaa kimya ? Haitoi tahadhari kwa wananchi wake ? Hawa watekaji wanapata nguvu kwa sababu serikali haisemi chochote kwa wananchi wake!!
 
Hatuwezi kuachia kila kitu kwa hiyo unayoiita serikali, serikali ni mimi na wewe na jukumu letu ni kuwakumbusha viongozi ili wafanyie kazi maswala kama haya wajibu wetu kama watanzania ni kuongea na hao wenye mamlaka kuwaeleza yanayotekea nadhani utakuwa mwanzo mzuri wa wao kuchukua hatua
 
Fanyeni neighbourhood watch
Mkishirikiana na police moja kwa moja
Kuanzia mchana mpaka usiku ni kushirikiana kikamilifu mpaka mnawakamata
 
Ningependa Polisi watumie mbinu kama ile waliotumia kumaliza UJAMBAZI.

-Kamata watekaji watoto aonyeshe mtandao wao wote kisha unapeleka nje ya mji unafumua UBONGO tu kisha kwenye vyombo vya habari unatangaza kwamba walitaka kukimbia tukawaambia wasimame wakagoma tukapiga risasi za miguuni kwahiyo wakati tunapeleka hosptital wakakata roho na biashara inaishia hapo.
 
Hao watoto wameanza kupotea lini?

Mpaka sasa ni watoto wangapi wameshapotea?

Je, matukio hayo yametokea sehemu ipi ya nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…