Watoto watundu

Ingekuwa watoto wa kikwetu, leo hii ni kibano mtindo mmoja.
 
Alafu kanacheka as if he did something good, sijui utaanza kufanya usafi au uwakimbize hospitali, mh kazi ipo na wana.
 
Nafikiri ambaye ni mtundu zaidi ni huyo ama mzazi au mlezi anayejua kwamba anaishi na watoto halafu bado anaacha vitu ki hasara hasara. Hata ukiwachapa haisaidii kwani sana sana watakuwa wamekufundisha wajibu wako wa kuhifadhi vitu vizuri hasa unapokuwa na watoto wadogo. Imagine kama yangekuwa madawa? Nani kauwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…