Watoto watundu

Watoto watundu

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
watotowatundu.jpg
 
Ingekuwa watoto wa kikwetu, leo hii ni kibano mtindo mmoja.
 
Alafu kanacheka as if he did something good, sijui utaanza kufanya usafi au uwakimbize hospitali, mh kazi ipo na wana.
 
Nafikiri ambaye ni mtundu zaidi ni huyo ama mzazi au mlezi anayejua kwamba anaishi na watoto halafu bado anaacha vitu ki hasara hasara. Hata ukiwachapa haisaidii kwani sana sana watakuwa wamekufundisha wajibu wako wa kuhifadhi vitu vizuri hasa unapokuwa na watoto wadogo. Imagine kama yangekuwa madawa? Nani kauwa?
 
Back
Top Bottom