Watoto wengi hufanyiwa ukatili na watu wanaowaamini

Watoto wengi hufanyiwa ukatili na watu wanaowaamini

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
1652108037362.png

Ukatili dhidi ya Watoto unaweza kuwa kimwili, kihisia au kingono, na hutokea kote duniani katika mazingira tofauti ikiwemo Shuleni, kwenye Jamii inayomzunguka au Mtandaoni. Watoto wengi wanafanyiwa ukatili na watu wanaowaamini

Kwa mujibu wa Takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa la UNESCO, takriban Watoto 3 kati ya 4 wenye miaka miwili hadi minne huadhibiwa vikali na Walezi wao. Aidha, Mtoto 1 kati ya 3 duniani (miaka 13 - 15) hufanyiwa uonevu

=======

Violence against children takes many forms. It can be physical, emotional or sexual. It happens in all countries and any setting – in a child's home, community, school and online. In some parts of the world, violent discipline is socially accepted and common. And for many girls and boys, violence comes at the hands of the people they trust – their parents or caregivers, teachers, peers and neighbours

But the most devastating types of violence are often hidden from public view. Perpetrators go to great lengths to conceal their acts, leaving children – especially those who lack the capacity to report or even understand their experience – vulnerable to further exposure

Violence affects all children. But children living with disabilities or HIV and AIDS, those suffering extreme poverty, girls and boys in institutional care, and children separated from their families or on the move – as migrants, refugees or asylum seekers – face the greatest risk. Sexual orientation, gender identity and belonging to a marginalized social or ethnic group also heightens a child’s chance of suffering violence

Children typically experience violence at the hands of the people they trust most.

No matter what form of violence a child is exposed to, her experience may lead to serious and lifelong consequences. Violence can result in physical injury, sexually transmitted infections, anxiety, depression, suicidal thoughts, unplanned pregnancy and even death. Evidence also suggests that toxic stress associated with violence in early childhood can permanently impair brain development and damage other parts of the nervous system

Long-term behavioural impacts on children include aggressive and anti-social behaviour, substance abuse, risky sexual behaviour and criminal behaviour

Despite these grave physical and mental health consequences, the vast majority of child victims never seek or receive help to recover. What’s more, children who grow up with violence are more likely to re-enact it as young adults and caregivers themselves, creating a new generation of victims

Source: UNICEF
 
Ungetafsiri na sisi tusiojua ki english tuekewe !
 
Wazazi wamejisahau ktk majukumu yao ya kulea na kuwa marafiki na watoto wao na kupelekea watoto kutekwa akili na watu wengine ambao wao wanadhani wanawajali na wanawaami kumbe watu hao wanakuwa karibu nao kwa lengo la kuwaharibu
 
Back
Top Bottom