Mimi Ni Mtu Wa Mungu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 679
- 1,295
Siku hizi mnawaachia walimu kazi ya malezi yaani nyie mmejichomoa kabisa eti mpo busy 'kutafuta maisha'
Walimu kazi yao ni kuwafundisha herufi na silabi kwa msingi wa kujua kuandika
1+1, 2+2 kwa msingi wa hesabu
Walimu kumfunda mwanao heshima na tabia njema kwa ujumla sio kazi yao ni ya kwenu
Ni miaka michache mwalimu na mwanafunzi watakuwa pamoja lakini ni miaka yote mzazi na mwanao mtakuwa pamoja
Na kwa hili mwalimu hana hasara hata mwanao akiwa nunda/shoga mwenye hasara ni wewe.
ASUBUHI NJEMA
Walimu kazi yao ni kuwafundisha herufi na silabi kwa msingi wa kujua kuandika
1+1, 2+2 kwa msingi wa hesabu
Walimu kumfunda mwanao heshima na tabia njema kwa ujumla sio kazi yao ni ya kwenu
Ni miaka michache mwalimu na mwanafunzi watakuwa pamoja lakini ni miaka yote mzazi na mwanao mtakuwa pamoja
Na kwa hili mwalimu hana hasara hata mwanao akiwa nunda/shoga mwenye hasara ni wewe.
ASUBUHI NJEMA