loh jamani naomba msaada wenu,my son ana miaka 3...ndo ameanza shule january..yaani before i never experience kuandikwa andikwa ndani but nw imekuwa hectic...nimeshamgombeza hadi kumchapa na kwa kuwa akili yake inaelewa hata nikimwambia nilikwambiaje anajibu niandike kwenye book tu....but baada ya muda atajisahau ataenda achukue pencil,pen au colour aanze kuchora ukuta kwa kuimitate like teacher,au kochi,au karpet chini au meza yaani ni chochote kilicho mbele yake...nanunua notes books,paper,na hizi ubao za plastic zenye automatic ufutio but wapiiii atataka kule kule...wengine mlifanyaje?au ni jambo la kusubiri tu huo msimu upite?