Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,374
- 6,857
Ni juzi tu tumesherehekea mtoto wa Afrika/fahari ya Afrika kwa generation ijayo, lakini mbona imekuwa hivi siku hizi za usoni??kwanini hasa??je ni kweli wa kulaumiwa ni wazazi??walimu??,walezi??au majirani??napata ugumu sana.
Hakuna tena tunachojivunia kupitia kwa watoto wetu, ikiwa ratio yake ni 1:100..hii ni mbaya sana.
Maadili ya watoto wengi wa siku hizi yameshuka mno,mitoto mingi ni mitukutu, wagomvi, wavivu,
watundu, waoga, sio creative, wala sio constructive kabisa!! au ndio shule za kata, lakini mbona zimeanza karibuni tu??sidhani...hii dalili au tabia nyingi za watoto zimeanzia majumbani tunakoishi nao. Hembu nikupe homework kidogo!! Ikifika mida ya mchana watoto(wa shule za msingi au sekondari) wanapokuwa group kurudi nyumbani jaribu kukaa nyuma yao na sikiliza kwa makini wanayoyaongea, then njoo hapa jamvini na jibu.
Ni upuuzi mtupu wanaooongea!! Tofauti kabisa na zamani, utakuta watoto wanadiscuss magazijuto, wanazungumzia kani mwendo, respiresheni, milinganyo na kadhalika. Leo hii utawasikia, mara kule mdundiko, huku kiduku, mara Kanumba kafanyaje sijui, mara hili mara lile..hovyohovyo!!
Sasa ngoja nikupe kitu cha kusikitisha kabisa hapa mtaani kwangu Mabibo...kuna mtoto(wa kiume) anasoma darasa la pili, juzi maza angu mdogo katujuza kwamba anawabaka watoto wenzake!! can u imagine this???mpaka sasahivi keshawatenda watoto wenzake wawili. Wa kwanza anakaa nae nyumba moja na ni wakiume, wa pili ni wa kike wa nyumba jirani. Wazazi wote wako macho sasa hivi kuhusu huyu firauni mtoto. Pale Luanga anti yangu kawakuta watoto 2 wanabakana(hawa ni chini ya miaka 10), kawafungia mlango wako uchi kamsubiri mama yao alivyokuja kawaambia angalia kinachoendelea ndani/hakuamini, kanalamba fimbo sana wale watoto.
Sasa ukiangalia hizi stori fupi unaweza jiuliza maadili yepi ya kujivunia toka kwa watoto wetu??
Ukiwapa homework ni utumbo mtupu wanafanya, sasa sijui nani alaumiwe. Kinachoumiza zaidi ni kwamba hakuna mwelekeo wowote wa mabadiliko ya ghafla au ya muda mrefu kwa hawa watoto.
Eeh Tanzania yetu nani katuloga lakini??mtoto anangalia muvi ya Kaumba au John Sina, nae anachukua kisu anamtishia mzazi au anaruka kwa ajabu sana..eeh??hivi mnajua kwanini muvi za kina Rambo na za vita zilikosa mvuto kipindi flani hadi leo??wazungu waliacha kupractice na kuonyesha in public coz ziliharibu sana watoto. Sameway kwenye games vivyohivyo.
Jamani tujitahidi kuwarekebisha watoto wetu. Hali si shwari kabisa tukiendelea na mwendo huu. Baba yuko bize kuhangaikia mkate na huku nyuma mitoto iko bize na filamu na mambo ya ajabuajabu. Tutafika tu!!
Siku njema!!
Hakuna tena tunachojivunia kupitia kwa watoto wetu, ikiwa ratio yake ni 1:100..hii ni mbaya sana.
Maadili ya watoto wengi wa siku hizi yameshuka mno,mitoto mingi ni mitukutu, wagomvi, wavivu,
watundu, waoga, sio creative, wala sio constructive kabisa!! au ndio shule za kata, lakini mbona zimeanza karibuni tu??sidhani...hii dalili au tabia nyingi za watoto zimeanzia majumbani tunakoishi nao. Hembu nikupe homework kidogo!! Ikifika mida ya mchana watoto(wa shule za msingi au sekondari) wanapokuwa group kurudi nyumbani jaribu kukaa nyuma yao na sikiliza kwa makini wanayoyaongea, then njoo hapa jamvini na jibu.
Ni upuuzi mtupu wanaooongea!! Tofauti kabisa na zamani, utakuta watoto wanadiscuss magazijuto, wanazungumzia kani mwendo, respiresheni, milinganyo na kadhalika. Leo hii utawasikia, mara kule mdundiko, huku kiduku, mara Kanumba kafanyaje sijui, mara hili mara lile..hovyohovyo!!
Sasa ngoja nikupe kitu cha kusikitisha kabisa hapa mtaani kwangu Mabibo...kuna mtoto(wa kiume) anasoma darasa la pili, juzi maza angu mdogo katujuza kwamba anawabaka watoto wenzake!! can u imagine this???mpaka sasahivi keshawatenda watoto wenzake wawili. Wa kwanza anakaa nae nyumba moja na ni wakiume, wa pili ni wa kike wa nyumba jirani. Wazazi wote wako macho sasa hivi kuhusu huyu firauni mtoto. Pale Luanga anti yangu kawakuta watoto 2 wanabakana(hawa ni chini ya miaka 10), kawafungia mlango wako uchi kamsubiri mama yao alivyokuja kawaambia angalia kinachoendelea ndani/hakuamini, kanalamba fimbo sana wale watoto.
Sasa ukiangalia hizi stori fupi unaweza jiuliza maadili yepi ya kujivunia toka kwa watoto wetu??
Ukiwapa homework ni utumbo mtupu wanafanya, sasa sijui nani alaumiwe. Kinachoumiza zaidi ni kwamba hakuna mwelekeo wowote wa mabadiliko ya ghafla au ya muda mrefu kwa hawa watoto.
Eeh Tanzania yetu nani katuloga lakini??mtoto anangalia muvi ya Kaumba au John Sina, nae anachukua kisu anamtishia mzazi au anaruka kwa ajabu sana..eeh??hivi mnajua kwanini muvi za kina Rambo na za vita zilikosa mvuto kipindi flani hadi leo??wazungu waliacha kupractice na kuonyesha in public coz ziliharibu sana watoto. Sameway kwenye games vivyohivyo.
Jamani tujitahidi kuwarekebisha watoto wetu. Hali si shwari kabisa tukiendelea na mwendo huu. Baba yuko bize kuhangaikia mkate na huku nyuma mitoto iko bize na filamu na mambo ya ajabuajabu. Tutafika tu!!
Siku njema!!