Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Taarifa za mawasiliano kupitia group lao la WhatsApp Zimevuja zinaonyesha namna wanavyopanga kuihujumu serikali hiyo kwa kutoa taarifa chonganishi kati ya serikali na wananchi ili zichapishwe mtandaoni.
Wasafi FM