Watu 11 wadaiwa kumhujumu Dkt. Hussein Mwinyi Zanzibar

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610



Kundi la watu 11 likiongozwa na Balozi Ali Karume limetajwa kuunda mkakati maalum wa kuikwamisha Serikali Ya Dkt. Hussein Mwinyi, visiwani zanzibar.

Taarifa za mawasiliano kupitia group lao la WhatsApp Zimevuja zinaonyesha namna wanavyopanga kuihujumu serikali hiyo kwa kutoa taarifa chonganishi kati ya serikali na wananchi ili zichapishwe mtandaoni.

Wasafi FM
 
Hussein anapaswa kuwa Jasiri kama Jakaya

kahujumiwa na kundi lililompa Urais 2005 nae akajipanga akalipasua kundi akaunda kikosi kazi cha Ushindi kikamsaidia kuongoza Nchi hadi muda wake ukiasha

Ukicheza na Nyani utaambulia mabua
 
Awaache kule aje bara tumpe nchi. Huyu mimi binafsi nina imani naye anaweza akatuvusha.
 
Uhuni !uhuni tuuh
japo sijasoma hata izo chartings zao😁😁
 
Analalmika nini wakati yeye mwenyewe aliingia kwa wizi wa kura.
Halalamiki

wanakumbushwa tu kuwa hadi leo Serikali ya Znz bado inaitwa SMZ I.e Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

ukichokoza Nyuki ujipange maana wakichokozeka hawana Kamati ya maridhiano hadi wakunyooshe
 
Hivi hii nchi ina usalama wa Taifa ama usalama wa viongozi pekee?

Hujuma kwa serikali ama mtawala ni ammount to treason.

Muache kufabricate issues
 
Halalamiki

wanakumbushwa tu kuwa hadi leo Serikali ya Znz bado inaitwa SMZ I.e Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

ukichokoza Nyuki ujipange maana wakichokozeka hawana Kamati ya maridhiano hadi wakunyooshe
Karume ndio kaleta Mapinduzi huyu Huseni kaleta Mapinduzi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…