Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Feb 17, 2024 #21 Ngoja tuone... Cc: Mahondaw
Marco Polo JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 11,786 Reaction score 18,562 Feb 17, 2024 #22 Pohamba said: Hussein anapaswa kuwa Jasiri kama Jakaya kahujumiwa na kundi lililompa Urais 2005 nae akajipanga akalipasua kundi akaunda kikosi kazi cha Ushindi kikamsaidia kuongoza Nchi hadi muda wake ukiasha Ukicheza na Nyani utaambulia mabua Click to expand... Hussein Hana kifua soon utamsikia kwenye majukwaa akiliongelea hilo jambo jamaa ni mzuri kiutendaji ila anapenda kupanic ovyo
Pohamba said: Hussein anapaswa kuwa Jasiri kama Jakaya kahujumiwa na kundi lililompa Urais 2005 nae akajipanga akalipasua kundi akaunda kikosi kazi cha Ushindi kikamsaidia kuongoza Nchi hadi muda wake ukiasha Ukicheza na Nyani utaambulia mabua Click to expand... Hussein Hana kifua soon utamsikia kwenye majukwaa akiliongelea hilo jambo jamaa ni mzuri kiutendaji ila anapenda kupanic ovyo