Watu 127 wauawa Sudan ndan ya siku mbili

Watu 127 wauawa Sudan ndan ya siku mbili

kiss daniel

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
758
Reaction score
2,062
Amani kwenu waungwana

Baada ya wakristo wa south Sudan kuwaachia wasudan nchi yao Mambo yanaendelea kuwa Mambo

Watu wa Sudan waliwaita wasudan kusin kuwa ni makafiri na wakaitangaza Sudan kuwa nchi ya kiislamu

Bila kinyongo wala nini watu wa Sudan kusin ambao asilimia 99 ni wakristo wakajitenga wakawaachia nyumba zao, makazi yao, na maendeleo yao yote wakaanza upya

Lakin cha ajabu leo hii watu wa Sudan kusin ambao waliitwa makafiri ndo wamewapokea na kuwapa hifadhi ya ukimbizi yaan kafiri leo ndo kampa mtu Allah mtu wa dini ya khaki hifadhi

Sudan Kuna Nuka damu za ubaguzi waislam waarabu wanawauwa kila siku waislam wabantu kwa kuwapiga mabomu na majambia ambayo wanapatiwa msaada na waarabu wa Dubai

Waarabu wanawaona waislam weusi kama taka taka na wanasema hawawezi kukubali kuongozwa na weus ambao ni watumwa kwao

Tupendane ndugu zangu tuachen kubaguana
 
Amani kwenu waungwana

Baada ya wakristo wa south Sudan kuwaachia wasudan nchi yao Mambo yanaendelea kuwa Mambo

Watu wa Sudan waliwaita wasudan kusin kuwa ni makafiri na wakaitangaza Sudan kuwa nchi ya kiislamu

Bila kinyongo wala nini watu wa Sudan kusin ambao asilimia 99 ni wakristo wakajitenga wakawaachia nyumba zao, makazi yao, na maendeleo yao yote wakaanza upya

Lakin cha ajabu leo hii watu wa Sudan kusin ambao waliitwa makafiri ndo wamewapokea na kuwapa hifadhi ya ukimbizi yaan kafiri leo ndo kampa mtu Allah mtu wa dini ya khaki hifadhi

Sudan Kuna Nuka damu za ubaguzi waislam waarabu wanawauwa kila siku waislam wabantu kwa kuwapiga mabomu na majambia ambayo wanapatiwa msaada na waarabu wa Dubai

Waarabu wanawaona waislam weusi kama taka taka na wanasema hawawezi kukubali kuongozwa na weus ambao ni watumwa kwao

Tupendane ndugu zangu tuachen kubaguana
Waache waarabu weusi wauane wao ni ndugu
 
Amani kwenu waungwana

Baada ya wakristo wa south Sudan kuwaachia wasudan nchi yao Mambo yanaendelea kuwa Mambo

Watu wa Sudan waliwaita wasudan kusin kuwa ni makafiri na wakaitangaza Sudan kuwa nchi ya kiislamu

Bila kinyongo wala nini watu wa Sudan kusin ambao asilimia 99 ni wakristo wakajitenga wakawaachia nyumba zao, makazi yao, na maendeleo yao yote wakaanza upya

Lakin cha ajabu leo hii watu wa Sudan kusin ambao waliitwa makafiri ndo wamewapokea na kuwapa hifadhi ya ukimbizi yaan kafiri leo ndo kampa mtu Allah mtu wa dini ya khaki hifadhi

Sudan Kuna Nuka damu za ubaguzi waislam waarabu wanawauwa kila siku waislam wabantu kwa kuwapiga mabomu na majambia ambayo wanapatiwa msaada na waarabu wa Dubai

Waarabu wanawaona waislam weusi kama taka taka na wanasema hawawezi kukubali kuongozwa na weus ambao ni watumwa kwao

Tupendane ndugu zangu tuachen kubaguana
Hata Sudan ya Kusini wanauana kwa sababu ya ukabila wakati Sudan ya Kaskazini wanauana kugombea madaraka.
 
Dini ya amani wao wanavyojitapa, ni dini ya mabomu, yaani hii dini ni ya vurugu, si unaona hata huku wakiswali wao, wanafunga barabara yaani wengine hamna haki ya kuitumia hiyo barabara halafu wanasema wao ni wa amani, na haki sijui haki gani?
 
Back
Top Bottom