Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Waliokutwa na virusi hivyo ni watu wa umri wa miaka 2 hadi 79, wamepatikana katika sampuli 1434 zilizopimwa kwa masaa 24 yaliyopita
Pia idadi ya waliokufa yafikia 21 baada ya watu wengine 4 kufariki dunia. Hadi hivi sasa Kauti 14 kati ya 47 zimethibitisha kuwa na maambukizi huku asilimia 91 ya maambukizi yakiwa ni ya Mombasa na Nairobi
Pia Wizara ya Afya imetangaza watu 150 kupona. Pia wameazimia kuweka masharti zaidi ili kuzuia maambukizi kutoka nchi jirani, kama Somalia ambayo ipo karibu na Mombasa
======
In the last 24 hours, 15 Kenyans have tested positive for the new coronavirus, pushing up the tally of confirmed cases to 411.
The new cases which range from 2-79 years of age are from 1434 samples tested across the country in the last 24 hours.
Four people have also succumbed to the coronavirus, bringing the total number of fatalities to 21.
11 of the new cases are from Mombasa with the Government set to impose tougher measures within the county to avert the spread of the virus.
“Mombasa’s trend is now worrying, and we may have to impose tougher measures to avert the spread of the virus,” CS Kagwe said.
Speaking on Friday from Afya House, Health CS Mutahi Kagwe also noted that Wajir which is very close to Somalia will be up for steeper measures to ensure that cases from the neighbouring Somalia do not seep into Kenya.
“Judging on the proximity of Wajir to Somalia which has over 500 cases, we are likely to close the border between Wajir and Somalia to ensure that the virus does not spread,” CS Kagwe said.
So far 14 counties out of the 47 in Kenya have confirmed positive cases with Nairobi and Mombasa taking the largest chunk at 91% of all the confirmed cases.
At the same time, Kenya has recorded 150 recoveries- a 36.5% recovery rate and a fatality rate of 5.1 percent from the country’s 21 deaths.
Chanzo: Citizen TV
Pia idadi ya waliokufa yafikia 21 baada ya watu wengine 4 kufariki dunia. Hadi hivi sasa Kauti 14 kati ya 47 zimethibitisha kuwa na maambukizi huku asilimia 91 ya maambukizi yakiwa ni ya Mombasa na Nairobi
Pia Wizara ya Afya imetangaza watu 150 kupona. Pia wameazimia kuweka masharti zaidi ili kuzuia maambukizi kutoka nchi jirani, kama Somalia ambayo ipo karibu na Mombasa
======
In the last 24 hours, 15 Kenyans have tested positive for the new coronavirus, pushing up the tally of confirmed cases to 411.
The new cases which range from 2-79 years of age are from 1434 samples tested across the country in the last 24 hours.
Four people have also succumbed to the coronavirus, bringing the total number of fatalities to 21.
11 of the new cases are from Mombasa with the Government set to impose tougher measures within the county to avert the spread of the virus.
“Mombasa’s trend is now worrying, and we may have to impose tougher measures to avert the spread of the virus,” CS Kagwe said.
Speaking on Friday from Afya House, Health CS Mutahi Kagwe also noted that Wajir which is very close to Somalia will be up for steeper measures to ensure that cases from the neighbouring Somalia do not seep into Kenya.
“Judging on the proximity of Wajir to Somalia which has over 500 cases, we are likely to close the border between Wajir and Somalia to ensure that the virus does not spread,” CS Kagwe said.
So far 14 counties out of the 47 in Kenya have confirmed positive cases with Nairobi and Mombasa taking the largest chunk at 91% of all the confirmed cases.
At the same time, Kenya has recorded 150 recoveries- a 36.5% recovery rate and a fatality rate of 5.1 percent from the country’s 21 deaths.
Chanzo: Citizen TV