Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,473
- 4,252
Kwa takwimu za jana maambukizi yao yameshapita 490+
Waliokutwa na virusi hivyo ni watu wa umri wa miaka 2 hadi 79, wamepatikana katika sampuli 1434 zilizopimwa kwa masaa 24 yaliyopita
======
In the last 24 hours, 15 Kenyans have tested positive for the new coronavirus, pushing up the tally of confirmed cases to 411.
Chanzo: Citizen TV