Watu 15 zaidi wakutwa na #CoronaVirus nchini Kenya, maambukizi yafikia 411

Watu 15 zaidi wakutwa na #CoronaVirus nchini Kenya, maambukizi yafikia 411

Kwa takwimu za jana maambukizi yao yameshapita 490+
Waliokutwa na virusi hivyo ni watu wa umri wa miaka 2 hadi 79, wamepatikana katika sampuli 1434 zilizopimwa kwa masaa 24 yaliyopita

======

In the last 24 hours, 15 Kenyans have tested positive for the new coronavirus, pushing up the tally of confirmed cases to 411.


Chanzo: Citizen TV
 
Endelea kujiliwaza wakati haujui hata ni watu wangapi wamepimwa Tanzania!

Hawa safari imewashinda, ndio wameamua kucheza mchezo wa mananasi, mapaipai na mapera ili kutafuta mlango wa kutokea, yaani wamfanikisha vipimo 652 pekee yake na humo wakapata maambukizi 480 hiyo ni kama asilimia 73%
Hali mbaya sana hiyo, check taarifa za CDC

2388980_IMG_20200504_163228.png
 
Hawa safari imewashinda, ndio wameamua kucheza mchezo wa mananasi, mapaipai na mapera ili kutafuta mlango wa kutokea, yaani wamfanikisha vipimo 652 pekee yake na humo wakapata maambukizi 480 hiyo ni kama asilimia 73%
Hali mbaya sana hiyo, check taarifa za CDC

2388980_IMG_20200504_163228.png
Hii haiwezekani! hapa naomba iwe ni alie andika kakosea manake hii itakua wazimu mtupu sasa, hatari!
 
Hii haiwezekani! hapa naomba iwe ni alie andika kakosea manake hii itakua wazimu mtupu sasa, hatari!

Wewe hukuona hotuba ya rais wa Tz alivyokua anaongea kwa hasira, yaani sijui nini kimemkasirisha kiasi hicho....
 
Wewe hukuona hotuba ya rais wa Tz alivyokua anaongea kwa hasira, yaani siji nini kimekasirisha kiasi hicho....
Nafikiri pale mwanzo alijiona yeye ndo mjanja kuliko kila mtu AFrica alipoambia watu waende kanisani wakaombe, alafu sahii reality inamchapa kumbe yeye ndo alikua miongoni mwa wajinga.. hata kama ni wewe ungekasirika, haezi kuabishwa na korona kiasi hicho hadharani mbele ya nchi nzima! lazima utafute njia ya kukwepa hio aibu kubwa
 
Back
Top Bottom