Watu 16 wapoteza maisha wakitoa msaada kwenye ajali Uturuki

Watu 16 wapoteza maisha wakitoa msaada kwenye ajali Uturuki

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Takriban watu 32 wamefariki katika matukio mawili tofauti nchini Uturuki baada ya magari kuwagonga watu waliokua wakitoa msaada kwenye ajali iliyotokea eneo hilo

Ajali hiyo ilihusisha Basi moja lilillopinduka eneo la Gaziantep Jumamosi asubuhi, na kuua watu 16 huku wengine 21 wakijeruhiwa

Saa kadhaa baadaye Lori liligonga umati wa watu umbali wa kilomita 250 huko Mardin na kuua watu 16 wakiwemo watoa huduma ya Dharula.

==============

At least 32 people have been killed in two separate events in Turkey when vehicles crashed into first responders following earlier accidents.

A bus hit the scene of a road crash near Gaziantep on Saturday morning, killing 16 people and injuring 21.

Hours later a truck hit a crowd of people 250km (150 miles) away in Mardin, also killing 16 people and reportedly hitting emergency workers.

There have been no reports of a connection between the incidents.

Source: BBC
 
Back
Top Bottom