#COVID19 Watu 29 wameshakufa kwa wimbi la 3 la Coronavirus. Wagonjwa wafikia 858 Tanzania nzima

Umeandika utumbo gani hapa, kwako mafua sio tatizo lakini unakiri yanaweza sababisha vifo mbele ya safari? hayo mafua yanayomnyima mtu oxygen yapo huko kijijini kwenu sio?

rudia kusoma
 
Mkuu afya ulinayo usifikiri na mwingine anayo, uwezo wa mwili wako kujikinga na maradhi usifikiri na mwingine anao huo uwezo, japo haya magonjwa inaweza kuwa ni project za watu lakini jua upo.... kwa muda huu ongezeko la utumiaji wa mashine za oxygen umeongezeka....
 
Yaani unakuja kabisa na kuandika kuwa ugonjwa hakuna kwa sababu unafuata Imani za kuletwa hukohuko Wanakosema ugonjwa upo. Hivi huoni albu kuacha kufuatilia na kuabudi dini za mababu zako. Ulokole ni moja ya ugonjwa wa akili
 
Niko kwenye usafiri wa umma mida hii. Tuliovaa barakoa ni 8 kati ya abiria 30
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…