Watu 4 wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya Mkoani Dar, Wafikishwa Mahakamani

Duuu chadema mshasahaulishwa kipigo alichopewa sugu?
 
Kwanini hawataji jina wasije kutuletea mwingine wa kufanana naye kwenye ushahidi ili wavuruge kesi
Mbona ni jambo la kawaida tu kwenye sheria!! Hasa kwenye kesi za udharirishaji, ili kutunza utu wa mhusika!
 
Upo sahihi msomi mwenzangu.

Na ugumu upo kwenye kupeleka original device iliyotumika kurekodi tukio! Yaani ile simu ya kwanza kurekodi:

N.b case imekaa vibaya sana upande wa hawa madogo.

Ninadhani imekaa vibaya upande wa Jamuhuri kwa sababu ndiye mwenye mzigo wa kuthibitisha ushahidi wa video na picha.
 
Duuh... wewe jamaa kwa hizi spana unaonekana unaweza hata kuwa wakili mtetezi wa wale magaidi yaliyofungwa kule Guantanamo Bay na mkashinda kesi.
😄 Kesi ya ugaidi hata ukimpa mwanafunzi wa mwaka wa pili fani ya sheria anaimudu.

Neno gaidi halijawahi kueleweka na ndiyo maana watuhumiwa wanaishia kuwekwa mahabusu tu maana mahakamani pagumu kuwapata na hatia.
 
UShahidi wa video ni mgumu sana aisee,yaani kumfunga mtu ni kipengele ndio maana hata yule afande rama wa zenji alitoboa kwa sababu vipengele ni vingi sana.

Na ninadhani kwenye jicho la sheria hawa jamaa huwenda wakatoboa

Umenikumbusha Afande Rama. Nilitarajia angeachiliwa maana electronic evidence kama ndiyo ushahidi pekee ni ngumu sana kumfunga mtu.

Bado Mahakama zina sita kuukubali maana ni ushahidi manipulative yaani unaweza kuchezewa kirahisi.
 
Huyo nyundo avue jezi yetu.
Askari mfupi ukute wazazi wake ni mabosi halafu wenyewe wanaharibu haribu tu.
 


Niamini mimi. Hawa jamaa wataachiwa!
 
Afande naye adakwe maana kama ni ushahidi wa maneno na video naye anahusika maana demu alikiri mwenyewe kuwa afande alikula kotekote ikiwemo kuzibua mtaro,
 
Ninadhani imekaa vibaya upande wa Jamuhuri kwa sababu ndiye mwenye mzigo wa kuthibitisha ushahidi wa video na picha.
Video na picha ni moja ya ushahidi, lakini kuna mashahidi wengine akiwemo victim mwenyewe.
 
Afande naye adakwe maana kama ni ushahidi wa maneno na video naye anahusika maana demu alikiri mwenyewe kuwa afande alikula kotekote ikiwemo kuzibua mtaro,
Afande nani mboni mnavuruga Mada?
 
Video na picha ni moja ya ushahidi, lakini kuna mashahidi wengine akiwemo victim mwenyewe.
Hii kesi imekaa kisengesenge sana wanasheria wenyewe wa Serikali wengi viazi sana ukianzia na yule Mkuu kwa hio kuwafunga hawa manyapara ni mtiti
 
Afande naye adakwe maana kama ni ushahidi wa maneno na video naye anahusika maana demu alikiri mwenyewe kuwa afande alikula kotekote ikiwemo kuzibua mtaro,
Mnavokazania afande mnawapa nafasi hao jamaa bila kujua lazima wataachiwa huru
 
Afande nani mboni mnavuruga Mada?
Hawa ndio wanavuruga mada baada ya kudili na mibakaji ambayo imeonekana wanakalia kudili na afande sababu ni chuki binafsi hivi Kwa akili yao mtu ana cheo kikubwa halafu hajaonekana kwenye video utamfunga Kwa bongo hii aisee wabongo akili 2
 
😄 Kesi ya ugaidi hata ukimpa mwanafunzi wa mwaka wa pili fani ya sheria anaimudu.

Neno gaidi halijawahi kueleweka na ndiyo maana watuhumiwa wanaishia kuwekwa mahabusu tu maana mahakamani pagumu kuwapata na hatia.
Unaona sasa? Hapa tu tayari umeshanionesha Advertise kwamba kesi ya ugaid8 inaweza ikaishia hapo hapo tu kwenye mkanganyiko wa maana ya neno gaidi.... nyie watu bwana
 
Niamini mimi. Hawa jamaa wataachiwa!
Kwa mbali hata mimi naona hilo likitokea, japo sidhani kama wataachiwa katika mazingira rahisi rahisi, lazima watasoteshwa huko rumande kama mwaka mzima, halafu ndio wataachiwa kimya kimya wakati huo wabongo wameshasahau....

Watanzania wako emotional sana, jana nimekaskia kadada flani hivi redioni kwenye kipindi cha diva kanaongea huku kanatoa machozi kakimtaka mama samia asimamie hii kesi hili eti hukumu yao itolewe kihadhara.
 

Ni kweli inaumiza lakini siyo sahihi mkuu wa nchi kuingilia kazi ya Mahakama.
 
Ni kweli inaumiza lakini siyo sahihi mkuu wa nchi kuingilia kazi ya Mahakama.
Ulishawahi kujiuliza ni kwanin wabongo huwa yakitokea mambo mazito kama haya wanakuwa na kimuhe muhe cha kumtaka raisi aingilie kati na yeye ndio atoe maamuzi ilihali vyombo husika vya kushughulika nayo vipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…