Watu 46 wafariki kafuatia maporomoko ya ardhi yalaiosababishwa ba mvua kali Brazil

Watu 46 wafariki kafuatia maporomoko ya ardhi yalaiosababishwa ba mvua kali Brazil

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mvua kali zilizonyesha nchini Brazil zimepelekea maporomoko ya ardhi ambayo yamesababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu.

Watu 46 wafariki katika maporomoko ya ardhi yaliosababishwa na mvua kali zilizonyesha nchini Brazil.

Kiongozi wa kitengo kinachohusikana na usalama wa rais katika eneo la Minas Gerais amewatahadharisha wakazi wa maeneo tofauti na mvua kali ambazo zimeripotiwa kuendelea kunyesha.

Kwa ujumla watu 46 wamefariki nchini humo huku 9 wakiripotiwa kufariki katika jimbo la Minas Gerais na 37 katika eneo la Espirito Santo.

Majumba zaidi ya 20 yamekwenda na maji na watu takribani 28 hawajulikani walipo.

Siku tatu za maombolezo zimetangazwa katika jimbo la Minas Gerais na katika miji mingine 47.
 
Pole zao waliokumbwa na majanga. Mdogo mdogo naona ardhi ikizama baharini na bahari ikipanda kina. A billion years to come hakutakuwa na nchi kavu duniani na dunia itakuwa imerudia hali iliyokuwa nayo mwanzo.

"... Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo. Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema. "
 
Back
Top Bottom