dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
uki deny zile permissions, button ya kuomba mkopo inakuwa greyed outKopa, usiruhusu kuwapa access ya simu yako, kisha hulipi deni. Full stop
chagua moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uki deny zile permissions, button ya kuomba mkopo inakuwa greyed outKopa, usiruhusu kuwapa access ya simu yako, kisha hulipi deni. Full stop
Yaani wanakuita mteja kabla hata hujakopa. Inshort kile unachowapa (access ya simu yako) watu hulipa pesa nyingi zaidi ya huo mkopo ili kuzipata, ila wao unawapa bure kabisa, na riba juuNdio maana kila mara wananiambia ndugu mteja tunaomba tukukopeshe
Nawapa access, once hela zikiingia naondoa permission. Mbona ni kazi rahisi tuuki deny zile permissions, button ya kuomba mkopo inakuwa greyed out
chagua moja
mkuu, ukiwapa access tu, contacts, recent calls etc zote zinakuwa logged kwa database yao ndani ya millisekundeNawapa access, once hela zikiingia naondoa permission. Mbona ni kazi rahisi tu
Kitendo cha kuruhusu tu, sekumde mbili nyingi, kila kitu wanakidownload kwenye server zao..Nawapa access, once hela zikiingia naondoa permission. Mbona ni kazi rahisi tu
Sijaelewa, kama hizo phone booth na photo gallery ziko empty inakuwaje?Safi sana. Ingekuwa uwezo wangu, nngeruhusu makampuni ya kitapeli kufanya kazi nchini bila ht kulipa kodi ili iwanyooshe wapumbavu.
Watadeal na SMS na Contacts pamoja na call log.Sijaelewa, kama hizo phone booth na photo gallery ziko empty inakuwaje?
Unajua ni kwa nini? Hizo ni biashara za hao wenye nchi wenyewe.Hakuna Nchi Duniani iliwahi fanikiwa kutokomeza Utapeli na wizi,magendo au dawa za kulevya.
Serikali zinachofanya ni kupunguza hali isiwe at alarming rate au kuwa in excess
Nadhani wamejipanga kwa hilo pia, watadecline kukupa mkopo kwa sababu hujakidhi vigezoNunua Simu mpya smart phone kwa kazi hiyo maalumu tia namba mpya yenye majina mawili tu lako na mke wako na unamwambia kabisa mama nataka kupiga watu hela watakutumia sms kausha.hiyo simu ni special kwa kazi hizo tu hakuna cha kupiga picha, hakuna ya kuweka whatsaps wala nini yani una install application yao tu tuone kama watapata hizo Access.
sio kweli hizi kampuni za kihuni mm jana wamempigia simu mama mkwe em fikiria hiyo najiteteaje tena mama mkwe swala 5 yan imepita siku 1 et kisa sikupatikanaJamaa alikuandika kama mdhamini wake [emoji23]
Jiulize wamemjuaje mama mkwe kama hajawekwa kama mdhamini.?sio kweli hizi kampuni za kihuni mm jana wamempigia simu mama mkwe em fikiria hiyo najiteteaje tena mama mkwe swala 5 yan imepita siku 1 et kisa sikupatikana