Watu aina ya Doto Magari ni wa kuwaepuka kama ukoma!

Watu aina ya Doto Magari ni wa kuwaepuka kama ukoma!

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Kwani watu ombaomba na wanafki ila huyu doto magari amezidi.

Huyu jamaa akishajua upo vizuri kipesa basi tegemea kila utakapokutana naye lazima akuombee hela usipompa tu kosa, lazima akakutangaze vibaya kwa watu.

Miongoni mwa watu wasiomkubali huyu jamaa ni Marioo, Dj Ally Bi, Diamond Platnumz nk.

Na wote hawa aliwaingia kuwaomba pesa wakamtolea nje basi kila kukicha anawarushia madongo tu.

Tena naona wiki hii kachachuka sana, kila mara anamzungumzia vibaya Diamond Platnumz na team Wasafi kiujumla.

Sasa watu wameshamjua na mbaya zaidi jamaa hana nyota ya kupendwa na watu, ukija kwenye upande wa elimu ndio Kabisaaaaa hata elimu ya shule ya msingi hakumaliza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Naona anajiangaisha bure, eti unamchukia mwanaume mwenzako kisa kakunyima pesa WTF.

Omba omba Doto jirekebishe, acha kupenda pesa za burebure tu, usione Mwijaku anapewa ukadhani ni rahisi au watu ni wajinga wanampa tu.

782380078.jpg
 
Jamaa alichosema ni kweli bwana Diamond atakuwa kapiga watu chai. Diamond ni mtu smart sana sio mtu anayeweza kulipa bilion 4 kama ananunua majani ya chai. Diamond ni smart sana kwenye pesa si mtu anayweza kupigwa bilion 4 kifala. Ukwasi anao ila hii story ya kupgwa bilion 4 za ndege itakuwa chai...
Naona die hard fan wa WCB mmeanza kumshambulia
 
Jamaa alichosema ni kweli bwana Diamond atakuwa kapiga watu chai. Diamond ni mtu smart sana sio mtu anayeweza kulipa bilion 4 kama ananunua majani ya chai. Diamond ni smart sana kwenye pesa si mtu anayweza kupigwa bilion 4 kifala. Ukwasi anao ila hii story ya kupgwa bilion 4 za ndege itakuwa chai...
Naona die hard fan wa WCB mmeanza kumshambulia
Jamaa alikuwa anatafuta pa kuanzia tu .

Ukimnyima hela ndio zake huyo.
 
Uyo jamaa kilichomfikisha apo ni uhaminifu yani ata umtumie milioni 10 akujui ukimwambia nitafutie gari basi gari lako utalipata tu tena lile unalolitaka..matajiri kibao wanamjua anagombewa na wauza magari kibao wanamjua..sasa wewe chawa wa WCB na bilioni 4 zenu za kuchora ata ukimchukia siyo shida kwake..
 
Dotto ana kipaji ndo maana watanzania tumemfahamu hadi wewe kumuandikia uzi kabisa. Dotto akazie hapohapo. Mungu pekee ndo anajua jinsi ya kumwinua kiumbe wake. Hao kina Diamond hawana tofauti yoyote na Dotto kielimu na kimaadili. Wote wana elimu duni na wamezaliwa na kukulia wilaya ya Kinondoni. Ila kwa miujiza ya Mungu leo hii wanashika pesa nyingi kuliko watu wengi sana town.
 
Uyo jamaa kilichomfikisha apo ni uhaminifu yani ata umtumie milioni 10 akujui ukimwambia nitafutie gari basi gari lako utalipata tu tena lile unalolitaka..matajiri kibao wanamjua anagombewa na wauza magari kibao wanamjua..sasa wewe chawa wa WCB na bilioni 4 zenu za kuchora ata ukimchukia siyo shida kwake..
Tena ukijua alipotokea, kwamba aliwahi kuwa muathirika wa Madawa ya kulevya, jamaa ni mfano wakuigwa kwa watu waliojikatia tamaa mtaani, uaminifu, na maneno mengi ndo msingi wa udalali mjini.
 
Back
Top Bottom