EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Ni mgogo nini maana wagogo ndio waombaji sana ona matonya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee usituponze wakigoma kuuza mabucha je mana ndio kazi yao ya pili baada ya kuomba ombaNi mgogo nini maana wagogo ndio waombaji sana ona matonya
🌈Moja ya watu nisiowafuatilia kabisa...
Sijawahi kuelewa 'content' yake...
Mzaramo.Ni mgogo nini maana wagogo ndio waombaji sana ona matonya
Uhaminifu × = Uaminifu ✓Uyo jamaa kilichomfikisha apo ni uhaminifu yani ata umtumie milioni 10 akujui ukimwambia nitafutie gari basi gari lako utalipata tu tena lile unalolitaka..matajiri kibao wanamjua anagombewa na wauza magari kibao wanamjua..sasa wewe chawa wa WCB na bilioni 4 zenu za kuchora ata ukimchukia siyo shida kwake..
Chai hiyoMondi kalipia ndege kama analipia vitumbua.
Ila nawasi wasi ni CHAI
Yeah hiyo ni chai mondi katupigaJamaa alichosema ni kweli bwana Diamond atakuwa kapiga watu chai. Diamond ni mtu smart sana sio mtu anayeweza kulipa bilion 4 kama ananunua majani ya chai. Diamond ni smart sana kwenye pesa si mtu anayweza kupigwa bilion 4 kifala. Ukwasi anao ila hii story ya kupgwa bilion 4 za ndege itakuwa chai...
Naona die hard fan wa WCB mmeanza kumshambulia
Naam.Dotto ana kipaji ndo maana watanzania tumemfahamu hadi wewe kumuandikia uzi kabisa. Dotto akazie hapohapo. Mungu pekee ndo anajua jinsi ya kumwinua kiumbe wake. Hao kina Diamond hawana tofauti yoyote na Dotto kielimu na kimaadili. Wote wana elimu duni na wamezaliwa na kukulia wilaya ya Kinondoni. Ila kwa miujiza ya Mungu leo hii wanashika pesa nyingi kuliko watu wengi sana town.
Diamond ndege yake ipo karibu kuwasili ndio akaamua kuanzisha upepo ule ili aje kuwakomesha wanaomdis sasahiviJamaa alichosema ni kweli bwana Diamond atakuwa kapiga watu chai. Diamond ni mtu smart sana sio mtu anayeweza kulipa bilion 4 kama ananunua majani ya chai. Diamond ni smart sana kwenye pesa si mtu anayweza kupigwa bilion 4 kifala. Ukwasi anao ila hii story ya kupgwa bilion 4 za ndege itakuwa chai...
Naona die hard fan wa WCB mmeanza kumshambulia