Watu ambao nataman kuonana nao.

Unajulikana kwanza ww?
 
tabu tupu yaan naona mmeshib sasa davet umekimbilia ndan kulala mwifwa hali kadhalika mkishib mna tabu san nyie watoto
Hah ahahahhaaaa.

Wallah nilikuwa nimelala toka majira ya saa tisa ndio nimeamka sasa hivi, maana Jamhuri imeniachia mapema halafu hali ya hewa ikawa ya mvua ikanishawishi kulala.
 
Only Mshana Jr nataka nimgeuzi mbuzi jike mtoto wa mkulu anaechafua watu kwa maslahi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…