glass amo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,645
- 4,330
we hutaki kuonana na MTU?Kila la kheri mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we hutaki kuonana na MTU?Kila la kheri mkuu
Ngoja tumuombe kama atakubaliUkikubali nikuwe kifesi wako lazima nikuje wakunyumba
Niombee wakunyumbaNgoja tumuombe kama atakubali
Msijui tuuh bujibuji..! Sababu sina interest naye kivile..Hello wana chamvi, tangu nijiunge na mtandao the huu wa Jf nimekuwa nikifatilia baadhi ya thread za watu na hawa ndo nilitaman kuonana nao live (mubashara)
1.Demiss
2.Mzigua
3.Bujibuji
4.Mshana Jr
5.Miss natafta.
So kama upo tayr plz nipe appointment yako.
Nipm mkuu usjali asante kwa upendoooHello wana chamvi, tangu nijiunge na mtandao the huu wa Jf nimekuwa nikifatilia baadhi ya thread za watu na hawa ndo nilitaman kuonana nao live (mubashara)
1.Demiss
2.Mzigua
3.Bujibuji
4.Mshana Jr
5.Miss natafta.
So kama upo tayr plz nipe appointment yako.
[emoji23][emoji23]...chamvi ndio nini?
Siri yangu mkuuwe hutaki kuonana na MTU?
Usijali mkuu tuombe uwepo wa pumzi tu
Mimi naandaa mmapokezi ya mgeni hapa, ukarimu kwa kwenda mbele
Kwakweli hatojutia kutembelea nyumbani kwetuMimi naandaa mmapokezi ya mgeni hapa, ukarimu kwa kwenda mbele
Ila tuwe makini anaweza akaja kuganda na kusahau kuondokaKwakweli hatojutia kutembelea nyumbani kwetu
[emoji23][emoji23][emoji23] atakua kachapia...chamvi ndio nini?
Akipikiwa na wale watoto wa kitanga na akiwaona kweli anaweza kuomba abakiIla tuwe makini anaweza akaja kuganda na kusahau kuondoka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sina la kuongeza hapo majina yenyewe ya Dada zetu yanajieleza..Akipikiwa na wale watoto wa kitanga na akiwaona kweli anaweza kuomba abaki
Ngoja wakiamka waanzenae ukarimu huku hukuSina la kuongeza hapo majina yenyewe ya Dada zetu yanajieleza..