Watu ambao nataman kuonana nao.

Watu ambao nataman kuonana nao.

Ngoja wakiamka waanzenae ukarimu huku huku

tapatalk_1522221180252.jpeg

Ebu mwambie amzoee machoni kwanza
 
Hello wana chamvi, tangu nijiunge na mtandao the huu wa Jf nimekuwa nikifatilia baadhi ya thread za watu na hawa ndo nilitaman kuonana nao live (mubashara)
1.Demiss
Shemeji wangu
2.Mzigua
Kademu langu
3.Bujibuji
Baba like babu
4.Mshana Jr
The visionary
5.Miss natafta.
My dear mchepuko
So kama upo tayr plz nipe appointment yako.
We are the family
 
Back
Top Bottom