Remigius22
New Member
- Feb 4, 2023
- 2
- 6
Jamani hawa watu wanajiita Watu Credit wanaodhamini mikopo mbalimbali ya simu za mikononi, tunaomba Serikali iingilie kati. Wananchi wanaibiwa sana na kuonewa kiuchumi.
Mtu anakopeshwa simu ya Tsh 300,000/= sokoni, analazimika kulipia zaidi ya milioni kwa mwaka, na usipolipia simu yao wanafunga tena wanajibu kwa jeuri sana.
Simu ya laki 3, riba yao haiongeleki. Serikali watusaidie. Ukiwaambia gharama halisi za simu sokoni, wanasema wao hawauzi simu. Tunaibiwa
Mtu anakopeshwa simu ya Tsh 300,000/= sokoni, analazimika kulipia zaidi ya milioni kwa mwaka, na usipolipia simu yao wanafunga tena wanajibu kwa jeuri sana.
Simu ya laki 3, riba yao haiongeleki. Serikali watusaidie. Ukiwaambia gharama halisi za simu sokoni, wanasema wao hawauzi simu. Tunaibiwa