Watu Credit na mikopo ya Simu

Watu Credit na mikopo ya Simu

Remigius22

New Member
Joined
Feb 4, 2023
Posts
2
Reaction score
6
Jamani hawa watu wanajiita Watu Credit wanaodhamini mikopo mbalimbali ya simu za mikononi, tunaomba Serikali iingilie kati. Wananchi wanaibiwa sana na kuonewa kiuchumi.

Mtu anakopeshwa simu ya Tsh 300,000/= sokoni, analazimika kulipia zaidi ya milioni kwa mwaka, na usipolipia simu yao wanafunga tena wanajibu kwa jeuri sana.

Simu ya laki 3, riba yao haiongeleki. Serikali watusaidie. Ukiwaambia gharama halisi za simu sokoni, wanasema wao hawauzi simu. Tunaibiwa
 
Jamani hawa watu wanajiita Watu Credit wanaodhamini mikopo mbalimbali ya simu za mikononi, tunaomba Serikali iingilie kati. Wananchi wanaibiwa sana na kuonewa kiuchumi.

Mtu anakopeshwa simu ya Tsh 300,000/= sokoni, analazimika kulipia zaidi ya milioni kwa mwaka, na usipolipia simu yao wanafunga tena wanajibu kwa jeuri sana.

Simu ya laki 3, riba yao haiongeleki. Serikali watusaidie. Ukiwaambia gharama halisi za simu sokoni, wanasema wao hawauzi simu. Tunaibiwa
Acha wajinga wapigwe tu, hao ndio wanafanya hata bandari zetu zinauzwa kwa jeuri
 
Jamani hawa watu wanajiita Watu Credit wanaodhamini mikopo mbalimbali ya simu za mikononi, tunaomba Serikali iingilie kati. Wananchi wanaibiwa sana na kuonewa kiuchumi.

Mtu anakopeshwa simu ya Tsh 300,000/= sokoni, analazimika kulipia zaidi ya milioni kwa mwaka, na usipolipia simu yao wanafunga tena wanajibu kwa jeuri sana.

Simu ya laki 3, riba yao haiongeleki. Serikali watusaidie. Ukiwaambia gharama halisi za simu sokoni, wanasema wao hawauzi simu. Tunaibiwa
Umeitwa? Maduka huyaoni? Nyie wanyama mnahitaji viboko vya kichwa.
 
Jamani hawa watu wanajiita Watu Credit wanaodhamini mikopo mbalimbali ya simu za mikononi, tunaomba Serikali iingilie kati. Wananchi wanaibiwa sana na kuonewa kiuchumi.

Mtu anakopeshwa simu ya Tsh 300,000/= sokoni, analazimika kulipia zaidi ya milioni kwa mwaka, na usipolipia simu yao wanafunga tena wanajibu kwa jeuri sana.

Simu ya laki 3, riba yao haiongeleki. Serikali watusaidie. Ukiwaambia gharama halisi za simu sokoni, wanasema wao hawauzi simu. Tunaibiwa
simu gani hyo ya laki 3 ukalipa 1m
 
Jamani hawa watu wanajiita Watu Credit wanaodhamini mikopo mbalimbali ya simu za mikononi, tunaomba Serikali iingilie kati. Wananchi wanaibiwa sana na kuonewa kiuchumi.

Mtu anakopeshwa simu ya Tsh 300,000/= sokoni, analazimika kulipia zaidi ya milioni kwa mwaka, na usipolipia simu yao wanafunga tena wanajibu kwa jeuri sana.

Simu ya laki 3, riba yao haiongeleki. Serikali watusaidie. Ukiwaambia gharama halisi za simu sokoni, wanasema wao hawauzi simu. Tunaibiwa
Watu wengine ujinga umewazid mpk mnashangaza kwani kukopa unalazimishwa?
 
Umeitwa? Maduka huyaoni? Nyie wanyama mnahitaji viboko vya kichwa.
Kama simu ni 300,000 sokoni sasa kwanini asiende huko sokoni, hao ndiyo watu ambao hata wakiumwa na mbu usiku wanataka serikali iingilie
 
Habari ya mjini ni DP world... hiki kibibi kitasusa na kurudi kwao Oman.
Kuna yuke alijenga International Airport kijijini kwao, Mungu akamuita chap, sasa yuko anajibi tuhuma
 
Jamani hawa watu wanajiita Watu Credit wanaodhamini mikopo mbalimbali ya simu za mikononi, tunaomba Serikali iingilie kati. Wananchi wanaibiwa sana na kuonewa kiuchumi.

Mtu anakopeshwa simu ya Tsh 300,000/= sokoni, analazimika kulipia zaidi ya milioni kwa mwaka, na usipolipia simu yao wanafunga tena wanajibu kwa jeuri sana.

Simu ya laki 3, riba yao haiongeleki. Serikali watusaidie. Ukiwaambia gharama halisi za simu sokoni, wanasema wao hawauzi simu. Tunaibiwa
Umelazimishwa kukopa au
 
Wajinga lazima wapigwe tu, yaani lazima mpigwe tu hadi siku mkijitambua dunia imekwisha
 
Back
Top Bottom