Watu Credit na mikopo ya Simu

Watu Credit na mikopo ya Simu

Jamani hawa watu wanajiita Watu Credit wanaodhamini mikopo mbalimbali ya simu za mikononi, tunaomba Serikali iingilie kati. Wananchi wanaibiwa sana na kuonewa kiuchumi.

Mtu anakopeshwa simu ya Tsh 300,000/= sokoni, analazimika kulipia zaidi ya milioni kwa mwaka, na usipolipia simu yao wanafunga tena wanajibu kwa jeuri sana.

Simu ya laki 3, riba yao haiongeleki. Serikali watusaidie. Ukiwaambia gharama halisi za simu sokoni, wanasema wao hawauzi simu. Tunaibiwa
Wametaka wenyewe kukopa.eti kila siku elfu moja.ukizidisha Mara 365 (mwaka)unapata 365000,haya jumlisha na kianzio ulichotoa Ina maana inafika hata laki 5.
Mara Mia ninunue kiswaswadu kuliko uzuzu huu
 
Jamani hawa watu wanajiita Watu Credit wanaodhamini mikopo mbalimbali ya simu za mikononi, tunaomba Serikali iingilie kati. Wananchi wanaibiwa sana na kuonewa kiuchumi.

Mtu anakopeshwa simu ya Tsh 300,000/= sokoni, analazimika kulipia zaidi ya milioni kwa mwaka, na usipolipia simu yao wanafunga tena wanajibu kwa jeuri sana.

Simu ya laki 3, riba yao haiongeleki. Serikali watusaidie. Ukiwaambia gharama halisi za simu sokoni, wanasema wao hawauzi simu. Tunaibiwa
Kwani wanawalazimisha kukopa hizo simu? Au ndiyo yale yale ya Bayport/Platinum/Letshego, na baadhi ya watumishi wa umma?
 
Back
Top Bottom