Watu gani unaweza kuwavumilia? Wachaga washamba au Wasukuma washamba?

Sitakosea kuwa wewe ni mmoja wao! Bar zipo nyingi na washamba kama wewe mpo wengi mmetapakaa kila sehemu!!

Kuweni wastaarabu kidogo watu tunakwenda bar kuburudika na kuongea siyo kupayuka!!
[emoji23] [emoji23]

Mkuu umenifurahisha......lakini hata watu wa ileje nimekaa nao na wenyewe ni washamba tu
 
[emoji23] [emoji23]

Mkuu umenifurahisha......lakini hata watu wa ileje nimekaa nao na wenyewe ni washamba tu
Ni kweli Ileje kuna washamba na werevu kama mimi!!
 
Ila kiukweli wandali kutoka ileje wanakera zaidi maana wanakunywa bia na kutafuna TP.
 
Mchanga mshamba anavumulika kuliko Msukuma mshamba! mmoja atanuka kahawa nk nk na mwingine maziwa nk nk!! Nawaza tu
 
Naona wachaga tunawapa tabu sana watanzania kila Kona aishi siku mchaga ajatajwa

Hebu ongeeleni makabila mengine msituchoshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…