Watu hamjanielewa naposema "Mwanamke ni chombo Cha Starehe" Sasa nieleweke hivi !!.

Watu hamjanielewa naposema "Mwanamke ni chombo Cha Starehe" Sasa nieleweke hivi !!.

Em tupunguze emotion kwenye fact.. mama zetu nao ni wanawake.. HIZI SIO KEJELI KWAO.. NI HESHIMA KWAO.. NDIPO ILIPO NGUVU YAO.


Ukiplay vizuri kumstarehesha Mumeo kwenye hayo majukumu aliyoyataja hapo juu, utakuwa mke mwenye nguvu. Hivyo hivyo kwa mama zetu.


Kama walidumu katika ndoa na kutuzaa basi walijitambua kuwa wao wapo kwaajili ya kuwastarehesha baba zetu.

Kama waliachika, yawezekana hawakujitambua kuwa wapo kwaajili ya kwaajili ya kwastarehesha baba zetu.
Umeielezea Kwa ufupi na Kwa maana kubwa !!.

Pamoja mkuu
 
Tazama Mwanzo 29:15--20 ,Yakobo, huyu yeye alipomuona Rahel, Maandiko yanasema ,Rahel alikua mzuri wa umbo na mzuri wa sura ( hapa Wanawake muelewe hili, liko wazi mnapishana uzuri Hata kama mnasemaga Et óhooo wote tumeumbwa na Mungu)
Unapotosha maandiko, ukisoma Mithali 31 Inaongelea sifa za mke mwema. Zinaongelea zaidi uchapa kazi Wala sio ngono sijui kwanini umechagua kastori kamoja kujustify hoja yako.
Navyosema Mwanamke ni Chombo Cha Starehe , maana yangu ni hivi...
Chombo cha starehe ni hao wanaojiuza sio mwanamke anayejitambua. Mwanamke ana thamani kuanzia malezi ya mtoto, kumsupoort mme wake, kufanya kazi whether za kiuchumi/ajira au nyumbani na sio ngono pekee otherwise hakuna haja ya kuoa.
Tuje kwenye uhalisia wa Sasa .. Mfano Mimi.. nimemuona Mwanamke mwenye kunivutis, chakwanza nachowaza ni Kumla mbususu, siwazi habari za kazi Wala nn Cha mwanamke, niliona Amejaa Tako, Mahips, mzuri wa sura ,aaahhh nachowaza juu yake ni kumuweka kitandan
Tabia zako za uhuni usi generalise kwa Kila mtu, kwamba sisi wote tuki approach wanawake ni sababu ya ngono? Wengine Wana approach wadada hata kwa muonekano hawavutii unadhana wamefuata ngono pale? Wengine wameapproach wanawake sababu ni Wachapa kazi, Wana adabu, Wana jitoa Nyumba za ibada, Wana jali n.k sio ngono..... Ndoa ni zaidi ya ngono kijana.
Tunatoa Mahari Kwa sababu una umbo zuri na sura nzuri ,unautii, unaheshima kwahiyo wewe unafaa kua Chombo Cha Kutoa Starehe Kwa Mume wako .
Kama Mzee wako angeoa kwa vigezo hivyo angedumu na mama Yako? unaoa mwanamke kujenga familia imara sio ngono pekee. Maana kama ni ngono why utoe mahari wakati Kuna madada poa ambao ni mafundi haswaa so ni chombo Cha starehe kuliko uoe gogo asiyeweza hata kukata mauno??

Man up
 
Unapotosha maandiko, ukisoma Mithali 31 Inaongelea sifa za mke mwema. Zinaongelea zaidi uchapa kazi Wala sio ngono sijui kwanini umechagua kastori kamoja kujustify hoja yako.

Chombo cha starehe ni hao wanaojiuza sio mwanamke anayejitambua. Mwanamke ana thamani kuanzia malezi ya mtoto, kumsupoort mme wake, kufanya kazi whether za kiuchumi/ajira au nyumbani na sio ngono pekee otherwise hakuna haja ya kuoa.

Tabia zako za uhuni usi generalise kwa Kila mtu, kwamba sisi wote tuki approach wanawake ni sababu ya ngono? Wengine Wana approach wadada hata kwa muonekano hawavutii unadhana wamefuata ngono pale? Wengine wameapproach wanawake sababu ni Wachapa kazi, Wana adabu, Wana jitoa Nyumba za ibada, Wana jali n.k sio ngono..... Ndoa ni zaidi ya ngono kijana.

Kama Mzee wako angeoa kwa vigezo hivyo angedumu na mama Yako? unaoa mwanamke kujenga familia imara sio ngono pekee. Maana kama ni ngono why utoe mahari wakati Kuna madada poa ambao ni mafundi haswaa so ni chombo Cha starehe kuliko uoe gogo asiyeweza hata kukata mauno??

Man up
Weee acha ujinga,

Mithali inamuelezea mwanamke katika Kona ya usaidizi wa mwanaume.

Je Maandiki yaliyosema ,Kila mwanaume na awe na mwanamke wake, msinyamaneee ?. ... Hapa ilikusudiwa nn kama sio Ngono??.


Wewe kulea watoto, familia ..hizo ni shughuli za Kisaidiz alizopewa Mwanamke , kama ambavyo Sisi wanaume tumeambiwa KULA KWA JASHO.


Wee banaz usiongee mambo ya kusadikika, Mwanamke mwenyewe, hata awe mchapakazi, kama hajionii mwenye kuvutia na hatongozwi, huwa hajionii mwenye Thaman, lengo la kutongoza mwanamke, sio kazi zake Wala uadilifu wake,, lengo kubwa linabaki KULA MZIGO NGONO. ... Nyinyi ndo wale mnaoa mwanamke kisa anakazi akusaidoe Maisha 🤣🤣🤣 .


Kwahiyo kisa Kuna Madada poaz ndo usioe?. Kuoa unaoa mwanamke wako uloona huyuuu anafaa kunia starehe
 
Wanawake wale wa zaman walio kuwa wanakeketwa ndio walikua kama vyombe vya starehe,hawa wa sasa mkuu sisi ndio tumegeuka vyombo vya starehe kwan huoni biashara ya mkongo na dawa za kuongeza nguvu za kiume zinavyoongezeka ili tu tuwaridhishe???
 
Ninaposema Mwanamke ni chombo Cha starehe, sikua na maana kwamba Sasa mtoto wakike asipelekwe Shule akapata Elimu, au asifanye kazi ,au asiwe na uchumi wake binafsi ,binafsi ninapinga unyanyasaji wowote ule uliokinyume na Mwanadam Kwa kigezo Cha Jinsia , Huwezi Kukaa umpige marungu na vipigo vikali sana mwanamke kisa tu ni mwanamke !!.

Navyosema Mwanamke ni Chombo Cha Starehe , maana yangu ni hivi...


Tukianza na Biblia... Kwenye Biblia Kuna Visa vingi sana ambavyo vinaweka wazi suala hili...

Kitabu Cha Mwanzo... Utaona Adam, Kwa upweke , Mungu anamoa wakufanana naye ,msaidizi..... Na hakika anapewa... Tafasiri yake, ni kwamba " Mwanamke ameumbwa Kwa ajili ya Mwanaume , na ameumbwa kuja kua msaidizi ,mtoani Faraja , mtoa Raha Kwa Mwanaume na Kwa ujumla wake ni kaumbwa kuja kua Starehe ya Mwanaume .

Tazama Mwanzo 29:15--20 ,Yakobo, huyu yeye alipomuona Rahel, Maandiko yanasema ,Rahel alikua mzuri wa umbo na mzuri wa sura ( hapa Wanawake muelewe hili, liko wazi mnapishana uzuri Hata kama mnasemaga Et óhooo wote tumeumbwa na Mungu) , Kwa sababu ya uzuri wa sura na umbo, Yakobo anakubali kua kijakazi wa Laban miaka 7, baadae Laban anamwambia siwez odhesha Rahel Binti Mdogo,kabla ya Dada yake Lea, kitu kinachofanya Yakobo, awe Tena kijakazi Kwa miaka kingine 7 na hatimaye Yakobo anajibebea Wanawake zake wawili.

Sasa tuje Kwa Ndugu zetu waislam,. Hivi mnawajua wa mabinti wa kiislam, walivyo wasafi nawenye kujipamba nakupambika?? Ni Kwa sababu dini yao imewafunza hivo kwamba wanatakiwa wawavutie wanaume Kwa mionekano yao sio kazi Wala Elimu ... Hiii inamaana gan?.... Tunarudi palepale kua mwanamke ni chombo Cha starehe kazi yake kumburudisha mwanaume kuanzia machoni mpaka kitandan.

Sasa tuanzia Adam, Yakobo ,na wengine Njoo mpaka kwenye Quran, utaona kote ,mwanamke kaumbwa kumpa Raha Mwanaume, ndio !!.

Tuje kwenye uhalisia wa Sasa .. Mfano Mimi.. nimemuona Mwanamke mwenye kunivutis, chakwanza nachowaza ni Kumla mbususu, siwazi habari za kazi Wala nn Cha mwanamke, niliona Amejaa Tako, Mahips, mzuri wa sura ,aaahhh nachowaza juu yake ni kumuweka kitandan ( na hii Kwa wanaume wote tuko hivi) na bahati nzuri na Wanawake wanaelewa, anapotongozwa anajua hapa Jamaa anataka Mzigo, na sansana atachofanya yeye ni kukutafutia sababu ya wewe kula Mzigo.

Kwa muktadha huo, Mwanamke ni chombo Cha Starehe ambacho kinatakiwa kiwe na sifa hizi..


Kwanza , Chombo Cha Starehe ni lazima kisiwe kero

Pili, Chombo Cha Starehe ni lazima kimtii Mwanaume wake.

Tatu, Chombo Cha Starehe ni lazima kumuheshim mwanaume wake.

Nne, Chombo Cha Starehe ni lazima kiwe kizuri machoni mwa mwanaume wake .

Tano, Chombo Cha Starehe ni lazima kijikubali kua ni chombo Cha starehe Kwa Mwanaume wake.


Mwanaume anapoamua kutoa Mahari, hatutoi Mahari kwasababu Una wewe mwanamke ni una Elimu au uchumi au vipi...

Tunatoa Mahari Kwa sababu una umbo zuri na sura nzuri ,unautii, unaheshima kwahiyo wewe unafaa kua Chombo Cha Kutoa Starehe Kwa Mume wako .


Hili jambo lieweke hivohivo, wewe Mwanamke uwe ni mtetezi wa haki za wanawakez uwe na PhD ,uwe una kazi ambazo ni za kiume ,Ujasiri , uwe na Pesa au lah, vyovyote vile uwavyo, jambo pekee lawewe kuweka kichwan ni ujitambue kua weee ni chombo Cha starehe kwa Mwanaume wako.


Nitawaacha na swali, Kwanini wanaume wanaoa Wanawake wenye viashiria vya tabia za kimalaya????.
Ni ukweli hata mama yangu ni chombo cha starehe cha baba yangu
 
Back
Top Bottom