Watu hawa sasa Wanajisikiaje kwa kauli hizi za mihemko?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Wanasiasa uchwara jaribuni kufumba vinywa vyenu ili kuficha aibu kama hizi zisiwatafune ninyi na vizazi vyenu. Yaani mlikuwa mnapigia debe uvunjifu wa katiba?

Msukuma upo?

Kinanasi upo?

 
Eti miaka 20 [emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani Rais yeyote kuanzia sasa, wakianza kupiga yowe "taka asitake aongezewe" , lazima acharuke, uchuro huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…