Watu hawa wakipambana hapa Tanzania. Utakuwa Upande wa nani?

Watu hawa wakipambana hapa Tanzania. Utakuwa Upande wa nani?

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Ikitokea ghafla unakuta watu hawa wanapambana mtaani. Bila kujua chanzo cha ugomvi ni nini. Je utamsaidia nani?

1. Traffic vs Dereva yeyote yule
2. Traffic vs Mwanajeshi
3. Traffic vs Raia yeyote yule
4. Traffic vs Askari
5. Askari vs Mwanajeshi
6. Askari vs Raia yeyote
7. Askari vs Mwanajeshi
8. Dereva Boda Vs Dereva Gari
9. Dereva Lorry vs Dereva Gari Dogo
10. Dereva vs Raia tu


Na mipambano mingine mbalimbali ya watu wa kada mbalimbali. Nimeuliza hivi kutokana na jamaa yangu mmoja kuapa akija kuta Traffic anagombana na Simba atamsaidia Simba.

Mwingine anasema anawachukia Askari kiasi ikija tokea Askari ana ugomvi na baba ya (Shetani anasema ndo baba wa asilimia kubwa ya askari) atasaidiana na Shetani kumshinda Askari.
 
Nitajibu 8 na 9

8. Kabla sijauliza ntaenda kwanza kumnasa vibao bodaboda

9. Dereva wa gari dogo ntamnasa vibao kwanza ndio nimuulize kuna nini. (Note; Hakuna dereva wa lori anaejifunza leo na kuanza misele leoleo)
 
Ikitokea ghafla unakuta watu hawa wanapambana mtaani. Bila kujua chanzo cha ugomvi ni nini. Je utamsaidia nani?

1. Traffic vs Dereva yeyote yule
2. Traffic vs Mwanajeshi
3. Traffic vs Raia yeyote yule
4. Traffic vs Askari
5. Askari vs Mwanajeshi
6. Askari vs Raia yeyote
7. Askari vs Mwanajeshi
8. Dereva Boda Vs Dereva Gari
9. Dereva Lorry vs Dereva Gari Dogo
10. Dereva vs Raia tu


Na mipambano mingine mbalimbali ya watu wa kada mbalimbali. Nimeuliza hivi kutokana na jamaa yangu mmoja kuapa akija kuta Traffic anagombana na Simba atamsaidia Simba.

Mwingine anasema anawachukia Askari kiasi ikija tokea Askari ana ugomvi na baba ya (Shetani anasema ndo baba wa asilimia kubwa ya askari) atasaidiana na Shetani kumshinda Askari.
Nitaendelea na safari yangu
 
Ikitokea ghafla unakuta watu hawa wanapambana mtaani. Bila kujua chanzo cha ugomvi ni nini. Je utamsaidia nani?

1. Traffic vs Dereva yeyote yule
2. Traffic vs Mwanajeshi
3. Traffic vs Raia yeyote yule
4. Traffic vs Askari
5. Askari vs Mwanajeshi
6. Askari vs Raia yeyote
7. Askari vs Mwanajeshi
8. Dereva Boda Vs Dereva Gari
9. Dereva Lorry vs Dereva Gari Dogo
10. Dereva vs Raia tu


Na mipambano mingine mbalimbali ya watu wa kada mbalimbali. Nimeuliza hivi kutokana na jamaa yangu mmoja kuapa akija kuta Traffic anagombana na Simba atamsaidia Simba.

Mwingine anasema anawachukia Askari kiasi ikija tokea Askari ana ugomvi na baba ya (Shetani anasema ndo baba wa asilimia kubwa ya askari) atasaidiana na Shetani kumshinda Askari.
Siwezi kukaa upande wowote wa askari au traffic milele na hata ikitokea ndugu yangu yeyote kaingia humo namtoa kwenye orodha ya undugu na mimi, hao wengine unaangalia na mazingira, ila boda boda ni jipu sana ikitokea kakaa18 fagia asibaki hai, kwa upande wa gari ndogo na lori binafsi nitakaa upande wa lori kw7bb moja kubwa! Lori ina eneo kubwa sana pale mbele ambalo ni almost blind spot ila dereva wa gari ndogo hua anahisi anaonekana pia kuna mazingira gari ndogo hua anaforce kupita kwa advantage ya gari yake ndogo atapita kitu ambacho kimahesabu si kweli, mf: ukitokea korogwe kuja kimara kwenye zile kona kueleke round about kuitafuta stop over kaa pale angalia dk kama kumi hadi kumi na tano uta pata jibu
 
Siwezi kukaa upande wowote wa askari au traffic milele na hata ikitokea ndugu yangu yeyote kaingia humo namtoa kwenye orodha ya undugu na mimi, hao wengine unaangalia na mazingira, ila boda boda ni jipu sana ikitokea kakaa18 fagia asibaki hai, kwa upande wa gari ndogo na lori binafsi nitakaa upande wa lori kw7bb moja kubwa! Lori ina eneo kubwa sana pale mbele ambalo ni almost blind spot ila dereva wa gari ndogo hua anahisi anaonekana pia kuna mazingira gari ndogo hua anaforce kupita kwa advantage ya gari yake ndogo atapita kitu ambacho kimahesabu si kweli, mf: ukitokea korogwe kuja kimara kwenye zile kona kueleke round about kuitafuta stop over kaa pale angalia dk kama kumi hadi kumi na tano uta pata jibu
Hapa pia umetoa somo.
 
Ikitokea ghafla unakuta watu hawa wanapambana mtaani. Bila kujua chanzo cha ugomvi ni nini. Je utamsaidia nani?

1. Traffic vs Dereva yeyote yule
2. Traffic vs Mwanajeshi
3. Traffic vs Raia yeyote yule
4. Traffic vs Askari
5. Askari vs Mwanajeshi
6. Askari vs Raia yeyote
7. Askari vs Mwanajeshi
8. Dereva Boda Vs Dereva Gari
9. Dereva Lorry vs Dereva Gari Dogo
10. Dereva vs Raia tu


Na mipambano mingine mbalimbali ya watu wa kada mbalimbali. Nimeuliza hivi kutokana na jamaa yangu mmoja kuapa akija kuta Traffic anagombana na Simba atamsaidia Simba.

Mwingine anasema anawachukia Askari kiasi ikija tokea Askari ana ugomvi na baba ya (Shetani anasema ndo baba wa asilimia kubwa ya askari) atasaidiana na Shetani kumshinda Askari.
Naku pm sikupati,,, ni pm chaaap..
 
Back
Top Bottom