Watu huja kwako kimkakati,mvuto wako kimuonekano ni ziada tu

Watu huja kwako kimkakati,mvuto wako kimuonekano ni ziada tu

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
WATU HUJA KWAKO KIMKAKATI,MVUTO WAKO KIMUONEKANO NI ZIADA TU.

Wenye upeo mkubwa wa kuona mbali hili si jambo geni wanaelewa kabisa kuwa mvuto ni kitu cha ziada tena pengine kikawa na nafasi ndogo kwenye kufanya watu waje kwako ila mwenye upeo mdogo atajisifia mvuto wake kuwa ni sukari yenye mvuto

Mtu anapokuja kwako awe mwenza kimapenzi ama rafiki kuna mikakati kaona kabisa akiwa kwako itakuwa rahisi yeye kufanikisha hivyo haji kizembe la sivyo labda awe mtu asiye na malengo yoyote yaani awe mtu ambaye hajui anataka nini kwenye hii Dunia.

Unaweza kuona anakupenda sana kwa tafasiri zako za nje ila huo upendo ataonyesha kwingine ikiwa tu akiona kwako humpi urahisi wa kufanikisha mikakati yake na akiondoka utabaki unalia kila siku ila yeye tayari kisha sahau yuko zake na huko anatimiziwa mikakati yake.

Ishi na watu kwa akili kubwa usijiachie sana ukaingia kwenye mfumo wa kutumikishwa na wanaharakati ukihisi ni upendo kumbe wapo kwako KIMKAKATI na yawezekana wakaondoka ikiwa watatimiza lengo au wataona umejanjaruka.

Wanaweza kukugeuza ajira kwa kutumia mgongo wa upendo na bahati mbaya kwako inakuwa hasara.

Ishi na watu ila usiache kuendeleza malengo yako kwa kuwafanyia wao tu na ukiona viashiria vyote kuwa umefanywa HARAKATI usisite kuchukua maamuzi magumu maana hapo jua upo UNATUMIWA TU KISHA UTELEKEZWE .

TANBIHI: Ikiwa anakuja KIMKAKATI ambapo wote mnanufaika huyo ni mzuri kwa mfano kama mtu kaona una kitu ambapo mkiungana naye akileta kitu chake mtafanya makubwa basi hiyo ni mikakati mizuri.

#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako
 
WATU HUJA KWAKO KIMKAKATI,MVUTO WAKO KIMUONEKANO NI ZIADA TU.

Wenye upeo mkubwa wa kuona mbali hili si jambo geni wanaelewa kabisa kuwa mvuto ni kitu cha ziada tena pengine kikawa na nafasi ndogo kwenye kufanya watu waje kwako ila mwenye upeo mdogo atajisifia mvuto wake kuwa ni sukari yenye mvuto

Mtu anapokuja kwako awe mwenza kimapenzi ama rafiki kuna mikakati kaona kabisa akiwa kwako itakuwa rahisi yeye kufanikisha hivyo haji kizembe la sivyo labda awe mtu asiye na malengo yoyote yaani awe mtu ambaye hajui anataka nini kwenye hii Dunia.


Unaweza kuona anakupenda sana kwa tafasiri zako za nje ila huo upendo ataonyesha kwingine ikiwa tu akiona kwako humpi urahisi wa kufanikisha mikakati yake na akiondoka utabaki unalia kila siku ila yeye tayari kisha sahau yuko zake na huko anatimiziwa mikakati yake.


Ishi na watu kwa akili kubwa usijiachie sana ukaingia kwenye mfumo wa kutumikishwa na wanaharakati ukihisi ni upendo kumbe wapo kwako KIMKAKATI na yawezekana wakaondoka ikiwa watatimiza lengo au wataona umejanjaruka.


Wanaweza kukugeuza ajira kwa kutumia mgongo wa upendo na bahati mbaya kwako inakuwa hasara.


Ishi na watu ila usiache kuendeleza malengo yako kwa kuwafanyia wao tu na ukiona viashiria vyote kuwa umefanywa HARAKATI usisite kuchukua maamuzi magumu maana hapo jua upo UNATUMIWA TU KISHA UTELEKEZWE .

TANBIHI: Ikiwa anakuja KIMKAKATI ambapo wote mnanufaika huyo ni mzuri kwa mfano kama mtu kaona una kitu ambapo mkiungana naye akileta kitu chake mtafanya makubwa basi hiyo ni mikakati mizuri.

#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako
Ngoja nisome.....
 
S
WATU HUJA KWAKO KIMKAKATI,MVUTO WAKO KIMUONEKANO NI ZIADA TU.

Wenye upeo mkubwa wa kuona mbali hili si jambo geni wanaelewa kabisa kuwa mvuto ni kitu cha ziada tena pengine kikawa na nafasi ndogo kwenye kufanya watu waje kwako ila mwenye upeo mdogo atajisifia mvuto wake kuwa ni sukari yenye mvuto

Mtu anapokuja kwako awe mwenza kimapenzi ama rafiki kuna mikakati kaona kabisa akiwa kwako itakuwa rahisi yeye kufanikisha hivyo haji kizembe la sivyo labda awe mtu asiye na malengo yoyote yaani awe mtu ambaye hajui anataka nini kwenye hii Dunia.


Unaweza kuona anakupenda sana kwa tafasiri zako za nje ila huo upendo ataonyesha kwingine ikiwa tu akiona kwako humpi urahisi wa kufanikisha mikakati yake na akiondoka utabaki unalia kila siku ila yeye tayari kisha sahau yuko zake na huko anatimiziwa mikakati yake.


Ishi na watu kwa akili kubwa usijiachie sana ukaingia kwenye mfumo wa kutumikishwa na wanaharakati ukihisi ni upendo kumbe wapo kwako KIMKAKATI na yawezekana wakaondoka ikiwa watatimiza lengo au wataona umejanjaruka.


Wanaweza kukugeuza ajira kwa kutumia mgongo wa upendo na bahati mbaya kwako inakuwa hasara.


Ishi na watu ila usiache kuendeleza malengo yako kwa kuwafanyia wao tu na ukiona viashiria vyote kuwa umefanywa HARAKATI usisite kuchukua maamuzi magumu maana hapo jua upo UNATUMIWA TU KISHA UTELEKEZWE .

TANBIHI: Ikiwa anakuja KIMKAKATI ambapo wote mnanufaika huyo ni mzuri kwa mfano kama mtu kaona una kitu ambapo mkiungana naye akileta kitu chake mtafanya makubwa basi hiyo ni mikakati mizuri.

#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako
Hii ni kweli unaweza kuishia kua mtumwa, akili kichwani sasa , ukiona mienendo sio shtuka haraka sana
 
Yupo mmoja alikuwa anaonyesha kunielewa sana, ila nature ya maswali anayouliza nikajua huyu anataka kunitengeneza aniingize kwenye mfumo (commitment).
Nikamwambia bidada hapa fall at your own risk, hakuna future wala mipango zaidi nitakuumiza tu
 
Kuna mmoja ni cpl wa wale wanaokaa road anakuja Kasi kweli anajua mimi nna maweeee kumbe naganga njaa tu hapa town Kuna siku tulimpa lift na jamaa yangu kwenye vxr V8 basi anajua mimi boss wa DFP
Hesabu ya hao ndugu ni ya mbali sana , hasa ukishaifahamu wewe kwa makusudi divert halafu utaleta majibu umeona rangi ngapi utashangaa,
 
Wanawake wasichokijua kwa mwanaume yeyote duniani anampenda na kumtamani kwa siku 90 pekee , baada ya pale mwanaume huanza kuchunguza tabia sasa , akiona dalili za kiburi anakuepo kama hayupo hapo ndio mambo huharibika, hivo ni kukaa macho kwelikweli ndio maana tabia ya utii kwa mwanamke ikiwa juu mwanaume atampigania maisha yote zaidi ya hapo wakongwe hukaa pembeni kupisha foleni
 
Back
Top Bottom