Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Ni kwel,niliwah kupendwa na binti mmoja mzur hatar,kuna wakat nilkuwa najifanya kumzingua ili tuachane lakin binti kakomaa tu,alikuwa ananipenda sana mpaka nikawa nashangaaa
sIku moja ananiambia alizan mim nilkuwa na hela sana(maana hapo kabla nilkuwa nafanya kazi yenye marupurupu mazur),nikamwambia siko na pesa akaniuliza au zipo bank,nikamwambia sina kitu mim,lakin aliendelea kunipenda tu hvyo hvyo
sIku moja ananiambia alizan mim nilkuwa na hela sana(maana hapo kabla nilkuwa nafanya kazi yenye marupurupu mazur),nikamwambia siko na pesa akaniuliza au zipo bank,nikamwambia sina kitu mim,lakin aliendelea kunipenda tu hvyo hvyo