Watu huja kwako kimkakati,mvuto wako kimuonekano ni ziada tu

Watu huja kwako kimkakati,mvuto wako kimuonekano ni ziada tu

Ni kwel,niliwah kupendwa na binti mmoja mzur hatar,kuna wakat nilkuwa najifanya kumzingua ili tuachane lakin binti kakomaa tu,alikuwa ananipenda sana mpaka nikawa nashangaaa

sIku moja ananiambia alizan mim nilkuwa na hela sana(maana hapo kabla nilkuwa nafanya kazi yenye marupurupu mazur),nikamwambia siko na pesa akaniuliza au zipo bank,nikamwambia sina kitu mim,lakin aliendelea kunipenda tu hvyo hvyo
 
Ni kwel,niliwah kupendwa na binti mmoja mzur hatar,kuna wakat nilkuwa najifanya kumzingua ili tuachane lakin binti kakomaa tu,alikuwa ananipenda sana mpaka nikawa nashangaaa

sIku moja ananiambia alizan mim nilkuwa na hela sana(maana hapo kabla nilkuwa nafanya kazi yenye marupurupu mazur),nikamwambia siko na pesa akaniuliza au zipo bank,nikamwambia sina kitu mim,lakin aliendelea kunipenda tu hvyo hvyo
Yes alikua na real love na alijitoa kwelikweli sio kama wanawake wengine matapeli wa mapenzi , ndio maana kwa kila Hali alikua na wewe
 
Mwanaume ana sense kubwa za kufahamu usaliti wa mwanamke wake hapo ndio mwanaume hubadilika na hua hakosei maana anaangalia vitu vitatu au vinne anajua mwanamke niliyenaye ashakua malaya anasaliti hapo mwanaume makini huanza kupunguza baadhi ya vitu kwa nini , anakwepa kutumika kama daraja yaani anabaki anakusikiliza Tu lakini hawezi kufanyia kazi mambo yako , ndio maana ataanza kusema umebadilika na kadhalika lakini mwanaume anajua huyu tayari ana mtu ana MPA kiburi , hivo nahitaji kuwekeza nguvu tena kwako , TATIANA njoo tujadili huku
Sahihi kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom