Watu hukiri kwa vitendo: Kumfunga Simba ni kufunga dude kuubwa sana

Sasa huoni aibu mwenyewe[emoji1787][emoji1787]

Timu ndogo imeifunga timu ya robofainalist michuano yote, timu mdogo inaongoza ligi dhidi ya litimu likubwa CAF ambalo mpaka sasa halijashida mechi yoyote huko Cafu
Timu lenye unbeaten 8 kasoro moja dhidi ya YANGA ( DUNDUKA 1 (moya) YANGA 5 (khamsa)) kwenye NBC PL 2023/2024.
 
Dada mimba yako ina miezi mingapi?, Kuna limao hapa tumebakisha tukuletee?. Naona unahangaika Kama kitetea😅
 
Mna midomo sana ndio maana mkifungwa nchi inafurahi

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
jifariji tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…