Watu kadhaa wahofiwa kufariki baada ya Lori lenye kontena kuparamia wafanyabiashara

Hayakaguliwi usalama wake
 
Anjali imetokea wapi , ? Ndo mana mnaambiwa mjenge mbali na barabara mtenganishwe na mitaro , lakn watu hawasikii full kulaumu , walioweka Hz sheria hawakuwa wajinga ,, mjini speed ni 5km/HR Ila watu hawaelewi
 
Aisee uzembe wa watu wachache,unasababisha madhara Kwa watu wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…