1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke
Ana mtoto...Bashite (call me J) koromije
Hvi shetani ana watoto? Sizan
Kumbe...Mswati..
Tujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani.
Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya Bongo. Naanza na hawa:
1. Kamuzu Banda - Rais wa kwanza Malawi
2. Omar Al Bashir - Rais wa Sudan
3. Steven Kanumba
Unaweza ukaendelea na wewe...
Muheshumiwa mama Spika mstafu Anna Watoto wa ndegeTujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani.
Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya Bongo. Naanza na hawa:
1. Kamuzu Banda - Rais wa kwanza Malawi
2. Omar Al Bashir - Rais wa Sudan
3. Steven Kanumba
Unaweza ukaendelea na wewe...
Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Dan Brown anasema alipata soma,the Davince codeDuh...we jamaa kiboko.! umefikiria mbali sana
Na yule mzee wanamuitaga "Lodi Lofa" nasikiaga eti naye hanaga mtoto thijui ni kweli?
Uongo.Siyo kweli hitler alikua ajawahi kucheka ila alikuja kucheka pindi anapo mchinja mtoto wake,,..
Sent using Jamii Forums mobile app
Dr.Tsere.Akitaka kugombea ubunge last time kwaoBasi najisikia Hamu ya kupata habari juu ya hatma ya huyo mtz wetu
Yupi huyo mtaje?
Edward Heath alikuwa Pm wa Uingereza miaka ya 1970Christopher walken