AmetindinganyaUnamuongelea Sanane au?
Hapana, namuongelea mkuu wa mkoa aliepigwa risasi iringa wakati wa nyerereUnamuongelea Sanane au?
Hiyo na 9.........umemuwekea nani mkuu?1.Samweli Sita
2.Kingunge
3.Ndesamburo
3.King Majuto
4.Masaburi
5.Masogange
6.Sam wa Ukweli
8.Maji Marefu
9.....
Hii inatukumbusha na kutufundisha kwamba duniani hata uwe nani utakufa tu,dunia mapito tuheshimiane,tupendane,dharau,kiburi,majivuno havina maana sana,mwisho kabisa tukumbule kusali sana,life is too short[emoji120]
1.Samweli Sita
2.Kingunge
3.Ndesamburo
3.King Majuto
4.Masaburi
5.Masogange
6.Sam wa Ukweli
8.Maji Marefu
9.....
Hii inatukumbusha na kutufundisha kwamba duniani hata uwe nani utakufa tu,dunia mapito tuheshimiane,tupendane,dharau,kiburi,majivuno havina maana sana,mwisho kabisa tukumbule kusali sana,life is too short🙏
Kunicha 😁Ametindinganya
jifunze kuelewa japo kidog tuKwa hiyo tukiyafanya hayo uliyoyasema badala yake ndo hatutakufa?
Yap wengi walitutoka kuanzia Kina Mtoi hadi Mtikila.ilianza kipindi cha kampeni vifo vya watu maarufu vingi vingi
Zilla,Ruge,Mengi,Pancho R.I.P1.Samweli Sita
2.Kingunge
3.Ndesamburo
3.King Majuto
4.Masaburi
5.Masogange
6.Sam wa Ukweli
8.Maji Marefu
9.....
Hii inatukumbusha na kutufundisha kwamba duniani hata uwe nani utakufa tu,dunia mapito tuheshimiane,tupendane,dharau,kiburi,majivuno havina maana sana,mwisho kabisa tukumbule kusali sana,life is too short🙏
Acha uchochezi. Halafu hebu anza kutumia mkorogo kidogo, uweusi wako unatisha.Jiwe hatarii kwa kutoa kafara aiseee Utadhan na yeye hata kufa!
Cc Magonjwa Mtambuka stroke Barbarosa
Follow instructionsKoffi Annan
Ningeshangaa ingepita dk 5 bila kureplyAcha uchochezi. Halafu hebu anza kutumia mkorogo kidogo, uweusi wako unatisha.
Nakufuatilia.Ningeshangaa ingepita dk 5 bila kureply
Hao uliowamention nao wameshadedi?Jiwe hatarii kwa kutoa kafara aiseee Utadhan na yeye hata kufa!
Cc Magonjwa Mtambuka stroke Barbarosa
Is this "shopenham"?Ningeshangaa ingepita dk 5 bila kureply
Yeah it's me. Dah ze maulid nakuonaga unaingiaga jamvini kwa nadra na kutowaruhusu. Jimena yuko wapiIs this "shopenham"?