Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50


amina chifupa?
 

I like the i missed the bus oooh my sister ndo alikuwa anachizika na candy rain wa soul 4 real along side heavy d
 
Utata kivipi ni uroho, Kuna Nyama ilikuwa na sumu ilitegwa maana ilipikwa vizuri na mke wake aliyekuwa ni Myahudi... nasikia baada ya kuzikwa Nguruwe na Mbwa walifukua na wakaila mikono hadi leo hii ni haramu. Na Wayahudi ni adui hadi leo


Hebu tuwe na hshima na dini za wenzetu mkuu.
 

Jamaa alikuwa anaitwa Dodi al Fayed bilionea wa kiarabu
 
Daud Mwangosi
Said Mwamba Kizota
Patrick Mutesa Mafisango
Tito Vilanova Kocha wa Barca
Albert Mangwea
 
Lady Luu huyu Dada alitamba na kibao chake Pesa kilichokuwa katika mtindo wa Ragga. May her soul continue to Rest In Peace
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…